Kuna ujanja unafanyika... huwezi kuwa na kampuni mbili moja unaita The Tanganyika... na nyingine Tanganyika ... na ziwe za mtu mmoja. Kuna ujanja mefanyika kwenye kuweka taarifa. Sujui ndio upigaji unaanzia hapo?
Ukifuata maelekezo utaelewa... maelezo ya hicho kifurushi ulichonunua yanasemaje?
Huwa unapewa dk za kutumia muda wote na dk za ziada kana bonus za kutumia muda huo saa sita usiku mpaka asubuhi...
Sasa wewe unaonekana umeshamaliza dk zako za kawaida umebakisha hizo za usiku. Hakuna wizi hapo...
Kama Kinana anaona kusema tuu watakuwa waadilifu na waaminifu inatosha, basi Wawahachie wapinzani wawachangue hao wasimamizi waadilifu na waaminifu... CCM wao wasubiri tuu kwamba wapinzani watachangua watu waadilifu na waaminifu.
Sijui kama watakuwa tayari kwa hili. Kama hawatakibali basi ajue...
Nadhani itakuwa bora hawa makamu wa wenyeviti wakafanya mdahalo live... tueleweshwe ni yapi yalijadiliwa kwenye hayo mazungumzo ya maridhiano na yapi yalikubaliwa na yapi yalikataliwa.
Kinana vs Lissu njooni kwenye live mjadala mtuelimishe wananchi
Wabunge wa sasa ndiyo CCM inavyotaka ili mambo yao yawe yanapitwa bila kupingwa. Hawa wabunge hawako hivyo kwa bahati mbaya... lah.. imepangwa iwe hivyo... sidhani kama Samia hawafurahishwi na hili bunge... kwake nadhani ndio murua maana kila kitu cha serikali yake kitapita bila shida...
Hii definition ya demokrasia kuwa ni tofauti kulingana na maeneo fulani ni hoja ya hovyoo sana yenye lengo la kuficha madhambi na kutotenda haki.
Kama demokrasia yetu ni tofauti, badi tuelezwe wazi hii yetu ni ya namna gani?? Ili tuelewe na kutolinganisha na wengine.
Shida yeti kubwa ni...
Wenzio hawaoni kama ni drama... wanaona anafanya matendo yaliyotukuka kuwatumikia wananchi.
Imefikia hata wengine kuona eti anafaa kuwa PM au hata Rais kwa sababu eti ana uthubutu wa kuwahoji vingozi hata mawaziri hadharani.
Anyway time will tell...
Kuharibu uchaguzi wowote au kuharibu kura kwa namna yoyote iwe ni kosa la uhaini... maana ni sawa na kupindua uongozi halali na kuweka viongozi mamluki.
Na pia kuwe na full transparency kwenye mchakato wote wa uchaguzi, kura ya mtu tuu ndio iwe siri.
Huu utetezi ndio wa hovyo kabisa kupata kutokea.... kuwatoa watu kwenye idara zao za kazi kwenda kwenye mkutano wa mwenezi ni matumizi mabaya ya resources. Huku ni kukosa maarifa.
Juzi nilijiuliza meneja wa mkoa wa Tanesco anatafuta nini kwenye mikutano ya chama???? Sikupata jibu zaidi kuona...
Kuna watu nikisikia wameongea huwa lazima notafute walichokisema...
1. Mbowe
2. Lissu
3. Heche
4. Mpina
5. Samia... kwa nafasi yake but contents zinapwaya
Naunga mkono hoja... sijui huo uwezo wa huyu mwenezi wanauona kwenye nini hasa ukiacha hizo siasa za majukwaani. Hana vision ya leadership ni mtoa taarifa tuu.. sioni weledi wake kwenye nafasi za juu za uongozi.
Wabongo tukue kimaarifa na kujua nani anafaa kuwa kuongozi na kwa vigezo vipi?
Mkiambiwa CCM wameishiwa maarifa ndio haya matokeo yake. Sehemu ambazo uongozi wote ni wa CCM tokea wenyeviti wa mtaa mpaka wabunge.... eti bado wanategemea mwenezi ndio apite kusikiliza kero za wananchi.
Tuna safari ndefu sana mpaka kufikia nchi ya asali... tunaweza watu kwenye uongozi kwa...
Walete PPV... hii itasaidia kupunguza machannel ya hovyo wanayotulundikia maana hayata uzika kabisa. Tena hii itawafanya wawekeze zaidi kwenye content creation.
Kwenda Ofisi za UN nadhani ni symbolic... kuwa unapaza sauti duniani wajue. Haina maana kuwa unakwenda kuishitaki serikali ili UN ichukue hatua dhidi ya serikali.
Ni jinsi ya kudemonstrate kwa upana kuwa kuna shida ndani ya Taifa linalohitaji suluhu.
Nyumbu wangekuwa hawajui wanakoenda kuna siku ungekuta kwa mfano wale wa serengiti wametokezea Dodoma... si hawajui wanakoenda... so inawezekana.
Lakini kwa taarifa yako wana pattern inayoeleweka kabisa ni msimu gani wanaenda wapi. Huwezi Sema hawajui wanakoenda. Na huwa wako na dhamira halisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.