unakuta mtu unaempeda sana na unamtegemea katika maisha yako awe mkeo,alafu unasikia kafunga pingu za maisha na rafiki yako wa karibu sana. utafanya nini na unakuta alikupromic kua mtaoana?
Jaman huyu jamaa ni rafiki yangu wa karibu umri wak ni miaka 26. Alinishangaza aliponambia jana kua analala chumba kimoja na mama yake,nilikosa cha kumwambia kwasababu niliona ni maajabu.
Jamani nipeni ushauri nimshaulije mwenzangu aweze kuhama? au unahis kuna nini hapo?
Cha kufnya we mwambie ukwl sster kua umezimika kw rafk yk ile awez kukupa nafac ya kuongea nae,maana awez kujua unaleng gan km ujaw waz.datc al ma frnd.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.