Ninaangalia mpira ITV muda huu, ila wanachokionesha hakiridhishi kwa kweli. Hawarudii matukio muhimu na hatujui mpira ni dakika ya ngapi wala mabao ni ngapi kwa ngapi?
ITV kuweni makini jamani. Hebu wekeni stats za mpira hapo, angalau tujue ni timu gani zinacheza, ni dakika ya ngapi na magoli...
Mkuu, yaani ni rahisi sana kuliko unavyofikiria, mimi pia nilidhani wanatumia supernatural powers kumbe hakuna kitu. Ni timing, choreography na sayansi ya hali ya juu.
Tafuta series inatwa Breaking the Magician's Code: Magic's Biggest Secrets Finally Revealed, hapo utapata majibu ya maswali...
I am so grateful this happened, hakuna kitu kinachomletea mtu heshima kama kusimamia anachokiamini. Sasa tunajua kuwa taarifa zetu zinalindwa. #Maxyouareahero
Kuna dozi flani inaitwa PEP unaweza kuitumia kabla ya saa 72 kuisha toka ulipofanya mapenzi. Kama yameshapita nadhani waweza jaribu vilevile. Ila chances ni ndogo sana kuambukizwa kama ulitumia condom.
Serikali imeonya wadau wa elimu wanaoendelea kutoza ada ya kujiandikisha na michango mingine kuacha mara moja kabla hatua za kisheria hazijachukuliwa dhidi yao.
Naibu waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Eng. Stella Manyanya, amesema wakuu wote wa Wilaya na Wakurugenzi...
Mi enzi hizo ITV, kuna mdada anaitwa Consolata Godfrey, alikuwa ripota. Yani nlikuwa napenda sana alivyokuwa anasign out- Consolata Godfrey, I T V, kama anavuta flani hivi, so nice.
Wengine ni ABD na Rose Chitala, walikuwa na kipindi chao, yani matani meeengi. Hadi wanabadilishana majina...
Waziri wa kilimo, mifugo na uvuvi, Mwigulu Nchemba, amewapa muda wa wiki moja maafisa wa wizara yake kuorodhesha mambo muhimu yanayotakiwa kupewa kipaumbele katika jamii na kupendekeza masuluhisho.
Nchemba amesema Watanzania wana mategemeo makubwa na serikali ya awamu ya tano na ni lazima...
Wanasayansi wa Chuo Kikuu cha Texas A&M wamegundua kifaa kinachoweza kutumika kupima Malaria katika simu ya kiganjani.
Kifaa hicho (add-on) kinapoambatanishwa kwenye simu ya mkononi, hutumia kamera ya simu (smartphone) kutoa picha ndogo kwa ubora (hutoa picha ndogo sana, zenye udogo mara kumi...
I came across this article somewhere.
According to the writer, who has come up with new vocabulary from the name Magufuli, such as Magufulism and Magufulist, urges all Tanzanians to support the new president in curbing corruption, laziness and all their associates. In other words, he is...
Mh, mi mbona kama siamini vile? Naona kama vile hawajagongwa ila wameuliwa, naweza kuwa siko sahihi. Hivi hawa ni kati ya wanyama wanaosakwa kwa sababu za kiuchumi kama tembo?
Serikali imetenga shilingi billion 5 itakayotumika kuboresha kambi za madaktari bingwa wa moyo ili kurahisisha upatikanaji wa huduma na matibabu kwa wagonjwa wengi wa moyo kwa wakati mmoja na kwa muda mfupi.
Hatua hii inafuatia agizo la rais Magufuli kufuta safari za nje zinazotumia pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.