Hii ni dunia nzima mkuu; na sababu zingine ziko nje ya uwezo wetu. Ndivyo tulivyoumbwa. We are providers (of life and everything in between); and in that process we go through a lot!
Naam! Mwanamke wa shoka. Mwanamke anayejiamini na kujitambua. Mwanamke ambaye hayuko tayari kuteseka na hata kupoteza maisha yake kisa eti anavumilia madhila ya kwenye ndoa na mume furushi. I am a proud dad of one of such women! ๐ช๐ช๐ช
Halafu ilikuwaje mkuu? Wewe ulioa huyo mpya uliyempata chuoni. Na yeye huyu aliyepoteza muda wake akikusubiri ilikuwaje? Alikuja kuolewa au maumivu na disappointment uliyomwachia ilimtoa kwenye ramani akaishia kuwa singo maza au spinster? Una furaha ya kweli katika ndoa yako hiyo mpya?
Safi kabisa mkuu. You are entitled to your opinions. I am also entitled to mine...and that's how is supposed to be in a civilized society. Piga kitabu vizuri sasa. Haya mambo utayakuta tu na muda wa kuchagua mwenza ukifika nitakucheka sana maana kichwa mpaka kitakuuma dadeki. Na mimi naomba...
Lissu atagombea CHADEMA na PCM (Paul Christian Makonda) atagombea kupitia ACT Wazalendo. Lissu na Makonda watagawana kura na Simba wa Nyika, shujaa wa vita, Iron Lady; na Kipenzi cha Watanzania hasa Lukasi Mwashambwa atashinda kwa ulainiiii tu!
At least that's the strategy. Siasa ni sayansi!
Lugha zote ziko hivyo na usishangae kukuta lugha rasmi (formal language) imebakia kuwa kwenye makabrasha tu haitumiwi na wazungumzaji wa kawaida wa lugha.
Hawa BAKITA mamisamiati yao mengi huwa wanabaki nayo huko kwao maana kwa kawaida huwa hayafiki huku mitaani. Mi huwa naona ni kama vile tu...
Unyenyekevu (uliozidi) ni dalili ya kutokujiamini (inferiority complex) na mara nyingi huwaandama watu waliopitia trauma utotoni. Hili wala siyo jambo la kujivunia hasa kwa mkuu wa nchi na amirijeshi mkuu ambaye wakati mwingine atalazimika kuchukua maamuzi magumu kwa maslahi ya nchi yake...
Our own mwasibu jameni! ๐๐๐ (Cc. kelphin)
On a serious note: Sidhani kama vitoto vyote vya 2000s viko hivyo. Naamini na vinavyojitambua na kuyaelewa maisha tena pure wife material vipo.
Hivyo usitumie ujinga wa hicho chako kisichojitambua kuvihukumu vitoto vyote vya 2000s. Endelea kutafuta...
Hii ni aibu kwa Simba.
Japo limetengenezwa kwa ajili yake, sasa itokee tena Azam wamkande atoke kapa dah!
Kuhusu drama za CCM wanasema anayewindwa hasa ni Luhaga Mpina. Na watu wa conspiracies wanasema kwamba CCM wana wasiwasi maana hawajui uchaguzi utakuwaje katika mazingira ya tume hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.