Samahani chief mkwawa mtalk ina nisumbua nina wiki mbili sijatumia jamii forum kwa kupitia simu. Naweza pata apps nyingine zaidi ya mtalk kwenye window phone
Magamba kawaida yao wanakujaga na mbwembwe hivi hivi lakini wakikutana na wenye jiji wanakuwa wapole, hata kandoro mwanzoni alijifanya mjuaji ila mwenye alionja joto la jiwe akawa mpole hadi walipomtema
Mkuu ulichokiandika pamoja na hoja za mshana hii makitu ndani ya miaka kadhaa tutaanza kuitumia hasa watakapo ibua ishu ya kudhibiti ugaidi, maana tunavyopenda kwenda nchi za magharibi na kutumia kila kitu chao hasa kwenye ishu ya tekinolojia kweli wametushika pabaya
Taratibu jamani ambao hatujafika dar kawaida yetu kujionyesha tunakufahamu huko dar hatakama tunatokea mbeya, alafu hii ishu sio wanachuo tu hadi kwa baadhi ya watu wazima na nchi za jirani zetu mfano mzuri kama wiki mbili zilizopita nilienda hapa kwa wabwezi(malawi) nilikutana na majanki...
Huu nimwanzo tu tutajua mengi sana yanayohusu uchuguzi uliopita kuhusu mwanakijiji na wengine wengi amboa ni vigeugeu hasa inapotokea ishu ya fisiemu na maslai wanayoyajua wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.