Kama ilivyojieleza hapo juu, naomba mwenye wimbo wa uliotungwa na banzastone mwana masanja akiwa na bambino sound band, wimbo unaitwa mimi niseme na wewe useme nani atamsikiliza mwenzie. Kama kuna mwenye website ambapo nitaupata huo wimbo msaada please
Umenikumbusha mbali aisee kipindi kile kwetu ilikuwa mwendo wa RTD masafa ya AM . Ukihamia SW unakutana na KBC-nairobi. KBC nilikuwa napenda kipindi fulani kilikuwa kinaitwa Eveready paka power show, ndani yake kulikuwa na segment ya "unga na majina ya kikwetu" mtangazaji alikuwa Fred. O...
Kwa maoni yangu, naomba deadline waliyoitoa(wanayofikiria kuiweka) ifike kabla hatua ya utatuzi wa mgogoro wa Zanzibar wanayotaka wao iwe haijafikiwa halafu tuone nini kitafuata. Nasema hivyo nikiwa naamini kwamba hakuna cha MCC wala msaada wowote kutoka IMF,World Bank marekani na washirika wao...
Ningependekeza kwenye "ccm ni ile ile" ungeweka "Tanzania ni ile ile" kwa maana hata yangekuwa ukawa ndo wako madarakani bado wangetumia watendaji wale wale
Naomba niulize swali, wale ambao huwa wanasema JPM hafahamu kiingereza je huyu alikuwa anazungumza nae kiswahili ama kulikuwa na mkalimani ambae hajatokea kwenye hiyo picha?
Ama kweli tanesco ni kero kwa watanzania hii ni kwa mujibu wa comments juu ya hii thread.
Hili nalo ni "jipu" hebu "mtumbua majipu" akitoka TPA &TRA apitie huku kwanza kabla ya kwenda TRL na kwingineko
Hongera kwa kutambua kwamba meza za mazungumzo pekee ndizo zitakazoleta suluhu Zanzibar. Lakini umeshindwa kukemea/kutoonesha masikitiko yako juu ya kile walichofanya ukawa jana kwani walishindwa kuthamini mazungumzo yanayoendelea Zanzibar
Naomba niulize, hivi hii habari ya kuvunja kurasini si imeshasemwa muda mrefu sana? Au watu wa kurasini walikuwa hawajalipwa fidia ndo maana walikuwa hawajapisha upanuzi wa bandari?
Naunga mkono hoja ila ninasikitika kuona watu wengi humu jf,pamoja na wewe mnapofanya makosa ya kiuandishi. Makosa haya japo ni madogo lakini yanaondoa radha ya maudhui yaliyomo kwenye kile ulichoandika. Hivi kweli unaandika KUHAMUA ukimaanisha KUAMUA?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.