Mimi November nimetimiza mwaka wa 7 tangu nimeoa. Namshukuru Mungu kwa kunipa huyu mwanamke.
Kingine namshukuru Mungu kutowahi kuzini nje ya ndoa tangu nilipooa. Yaani nikikaa kwenye maombi natubu dhambi zingine ila uzinzi haipo.
Kabla ya kuoa, nimefanya uasherati na zaidi ya wanawake 18, lakini...
Halafu, natamani sana nikupe ushuhuda wangu mmoja, Mimi nilishawahi kufungwa kwenye magereza ya kiroho kabisa, ila nikafanikiwa kutoka, nilifungwa kama miaka 5 hivi.
Natamani kuelezea hii story kwa watu sababu iliyopelekea nikafungwa na sababu iliyopelekea nikafunguliwa
Yaani Mungu kwenye amri zake aseme USIZINI, halafu wewe uzini, then ufanikiwe.
Kwa maana nyingine Mungu anapingana na neno lake. Acha kukumfuru Mungu, Mungu sio mwanasiasa mpaka aseme uongo
Mungu na shetani wote wanatoa utajiri.
Kama utajiri wako unatokana na maagano na Mungu, ukizini umevunja agano na utajiri wake aliokupa anauchukua. Usidanganye watu
Wewe una maagano na upande wa ibilisi ambao ngono kwake sio issue
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.