Hakuna biashara kijijn tuache kuzunguka , soko Lao kubwa wanategemea mjin,,
Kijijn NI sehemu fulan ya kupata mtaji ukipata mtaji sehemu ya kukuza mtaji wako ni mjini Tu ,
Kijijn Fanya kilimo na ufugaj ila uwe unatokea mjin,
Kwa kijana yeyote kama unatumia smartphone na kila siku unatumia mb na hazikuingizii hata $1 kwa siku Basi NI tatizo .
Kwangu smartphone inanipa kipato kupitia sehemu 2
1.Natangaza biashara zangu online Hii inanisaidia kupata wateja nje ya offline, hapa nitalipia Ads na kuboost matangazo yangu ...
Nakuunga mkono 100%
Mimi kukosa Baba Angu kunichukia Basi naamin ningekuwa mwanakijij saizi , Dingi alikuwa hapatani na Mimi ikapelekea kunifukuza home kwa Nguvu za police , ilichukua muda Sana kuamini katika maisha ya kupanga , ila nilifanikiwa kuingia town nakuanza maisha ya kupanga ...
Nimejiajiri miaka mitano Sasa , profit kwa mwez NI 1.2 had 1.5m
Mwaka huu nikapata Ajira kwa mwez napokea 500k hafu mazingira ya Kazi NI magumu , bado nipo dilemma Sana niachie Ajira nikomae na mishe zangu au nisukume vyote , but option pekee naiona NI kuachana na Ajira , time will tell na...
Hujasema location ulipo na Unahitaji mwekezaji aje eneo ulilopo au eneo lolote ,?? Mimi nipo interested Sana na Hii biashara ya accessories na nilikuwa natafuta fundi WA kukaa Kwa ajili ya matengenezo ya vifaa vya wateja , kwangu mm sihitaji ushirikiano WA kusema tugawane tunachopata , Mimi...
Yani mkopo mnatoa mpaka Rushwa[emoji3][emoji1787][emoji1787] bongo sijui mnafeli wapi ,
Mimi Nina mikopo ya utumish sijawah kuwaza et nimpe Rushwa Afisa mikopo
Nina mikopo ya biashara ambayo haihusiani na utumish , niliwauliza nahitaji niwe na nini ili nipate mkopo wa biashara nikapeleka...
Acha uwongo , Kwan watu wa TAMISEMI hawawez kujua taarifa zako kupitia check number yako au NIDA yako ? Wakiangalia wanajua huyu NI mtumish halmashauri fulan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.