Search results

  1. F

    Uchambuzi wa Zitto kuhusu Barrick Gold unapotosha

    But it doesn't make sense, kama nina 190billion nayoweza kupata why nipoteze muda ku negotiate 300million!! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. F

    Makonda na uchochezi wa kijinga

    Unajiaibisha wewe mtu wa Bank
  3. F

    TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

    Hata wewe hujui kuandika..neno hujui ndio sahihi sio haujuwi!!
  4. F

    Jaji Ramadhani tafadhali bwana! Ama unasema kweli au la...

    Wataangaliwa historia yao. Mfano sio wanachama wa chama chochote for the past five years. Hii isimamiwe na sheria na mtu anaapa, kinyume chake anaadhibiwa vikali. Tuko mil 50+, kupata watu 200 wasimamizi wa uchaguzi ambao ushahidi unaonyesha sio wanachama yawezekana.
  5. F

    Lipumba asema Maalim Seif amewasaliti Wazanzibar na watanzania. Adai kuacha chama sio suluhisho

    Dhamani= thamani Sent using Jamii Forums mobile app
  6. F

    Tundu Antipas Lissu on BBC HARDtalk - 21 January 2019

    Ndio maana ya HardTalk....hatakiwi kuwa neutral bali provocative...kumfanya anayehojiwa ajibu maswali magumu ya anachokiamini au asichokiamini.... Sent using Jamii Forums mobile app
  7. F

    Waziri Lukuvi Atenguliwe na Kupandishwa Kizimbani Kwa Robbery?. Mahakama Zimekuweje?!. Sasa Pesa Ndio Kila Kitu!.

    red-handed Sent from my HTC Desire 530 using JamiiForums mobile app
  8. F

    Serikali yazitaka NGO's zote nchini kuwasilisha kwa Msajili taarifa za vyanzo vya Mapato

    Sasa thesis umeandika ili isomwe na kuleta policy change au kuilalia na kuja kujisifu hapa. Hopeless
  9. F

    Mama Suzan Kolimba, nani alikutuma uunge mkono juhudi za mabeberu za kutaka tusifyatue kwa kwenda mbele?

    China tangu mwaka 79 walikuwa na sheria kabisa ya mtoto mmoja kwa kila family, so kila family iliwekeza kwa elimu na afya ya mtoto. Family ziliweza ku save na ku prosper, huku serikali ikiwekeza ktk Maendeleo kwa ujumla. Ni kweli kuna uhusiano wa umaskini na watoto wengi ktk family. Sheria ya...
  10. F

    Zitto Kabwe: Ni muda muafaka sasa Baraza la Mawaziri kuitumia ibara ya 37(2) ya Katiba

    Sema kuna mabadiliko na sio maendeleo...mabadiliko sio necessarily maendeleo
  11. F

    Maswali muhimu: Kwa mfumo na hali iliyopo, Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi itakuwaje? Itapatikanaje?

    Judge mkuu aunde tume ya judges. Top officials wachaguliwe na wawe responsible kwenye tume ya Judges. Wawee confirmed na bunge. Wafanyakazi wengine waajiriwe kawaida kwa mfumo wa serikali
  12. F

    Zitto, acha Ubishi wa Kijinga... Sikiliza anachosema Rais. Yeye ndo anajua

    Hawa wote ni watu wanasoma maneno na kufuata kama kasuku sio kuelewa context...ndio ubaya wa elimu za kukariri
  13. F

    Fatma Karume: COSTECH wanatakiwa kusimamia scientific research na sio scientific polling

    Nadhani usibishane na mjinga ambaye hawezi kuelewa context ya kitu...sometimes you wonder how can people be this empty headed...
  14. F

    UDSM: CHADEMA yaibuka kidedea uchaguzi wa DARUSO

    Upo chuo kikuu unaandika "classment", jirekebishe bwana...
  15. F

    Hali halisi ya uchumi wetu kwa sasa, mikopo kwa sekta binafsi yapungua

    Vigezo ni vingi sawa. Just support kwa kuleta vigezo vyako ambavyo havijafutwa tujifunze.
  16. F

    Hali halisi ya uchumi wetu kwa sasa, mikopo kwa sekta binafsi yapungua

    Vigezo ni vingi sawa. Just support kuwa unakuwa Kwa kuleta vigezo vyako ambavyo havijafutwa tujifunze.
  17. F

    Tanzania: Everyone is scared

    Your English is also very basic and low level...you could have as well drive your point home by writing Kiswahili.
Back
Top Bottom