Mimi naona sawa tu!! ilimradi tunalala, tunakula mulo mmoja kwa siku na tunafanya kazi za kubeba mizigo kutwa nzima ili tupate heka ya kula siku moja sawa tu!!
Endeleea! kama unaona uko poa, na unajisikia saaaafi bila kuharibu uhusino na jamaa wako wa karibu na umeweka kila kitu wazi kwa jamaa yako then Go ahead mkuu. Ila navyojua lazima kuna ugumu fulani kama hujaweka mambo wazi kwa jamaa yako wa karibu.
Mkuu Mganyizi, nakupa pongezi zangu kwa hii thread yako mkuu. Kama kuna lolote linalowezekana kufanywa na Chadema ni kufungua matawi nchi nzima mijini na vijijini, najua bado kuna mambo mengi ya kufanya lakini kama tutaweza kufanikiwa kwa asilimia kama 60 tu, basi 2015 ccm wakae mkao wa...
Wageni wa Nov bado saaana wanajifunza kuwa Thinkers, bado wanalopoka, bado wako 19 karne hawana jipyaa hapa tunapoteza muda wetu. Tuwapeni muda watajirekebisha.
Hapa Dawa kubwa ni kuvunja hilo litume lao, NEC ili iundwe tume huru ambayo itakuwa hailalii upande wowote. Naimani tutafika salama kuunda hiyo tume, ila kwa ndugu zetu CCM najua watalikataa hilo.
NEC wako tayari kuonekana na aibu, wala hawajali. Nchi hii watu wamechanganyikiwa na ufisadi kila mtu fisadi. Mimi nawewe ndo kidogo tunaonekana wazalendo lakini wengine its crazy all over the country. Watu wanaonewa kama nini, lakini tufanyeje?
Watz wanaumia sana kuona haya mambo yakiendelea, wasione wamekaa kimyaa lakini kuna wakati watavunja ukimya wao na kila aliyeiba hatakuwa na amani tena. Wala hizo wanazoziiba zitageuka zero zote.
Binadamu hatujifunzi kutokana na makosa yaliyofanywa na sehemu kadha wa kadha, ipo siku kitatokea...
Kuna jamaa wamejiunga wiki hii ili kutuadabisha, lakini wamechemka mbaya!! we will never give a room to change the mission. The mission is incomplete expect more to come. Mapambano yanaendelea hakuna kurudi nyuma hapo akina (GeniusBrain)' na criticism ndo kwanza wanajaribu kuchochea moto uliko...
Safi sana mkuu, hizi ndo taarifa muhimu tunazotaka, na zitamuondoa huyu jamaa safari hii tena kwa aibu kubwa. Hapo ni majimbo mawili what happens to the rest of the country? Ngoja tuone yataishia wapi.
Haturudi nyuma, na kama noma na iwe noma. Tunahitaji haki itendeke. Kila mtu anajua linaloendelea hata EU wameona ndo maana wakasema inabidi tukubali matokeo ili kudumisha amani. kitu ambacho binafsi ambacho kina gharama kubwa zaidi kuliko tukiwapelekea salamu kwa mwendo tofauti.
You are not even a human being!! You are just a ghost!! who care about somebody's religion? We care about our country, it is not a case of islam and christians.
Ahsante nimeshapata kwenye thread nyingine!! Pamoja mkuu, unajua hapa kila wakati watu wanakuja na habari kibao hazina miguu wala vichwa. Samahani mkuu, pamoja tutafika.
Hata kama wewe unakuwa kama huelewi wakati wewe ni senior member mkuu, acha hizo mkuu hapa watu tumeletewa machaka kibao, mamluki kibao hata kama ni kweli but you should show the source, au hata za upande wa pili.
Ila ahsante kwa taarifa najua ulikuwa na furaha hukujali impact za upande wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.