Kuna mkuu wa shule moja inayomilikiwa na kanisa maarufu maeneo ya katiti arusha hawezi kumwajiri mwl. Wa kike hadi afanye nae tendo la ndoa, inasikitisha sana ukizingatia shule yenyewe inamilikiwa na taasisi ya kidini
taarifa ya kiinterejensia ya polisi wetu, maandamano ya kupinga malipn ya dowans wanadai al-shabab watafanya mashambulizi je jumamosi kwenye mechi ya simba na yanga al-shabab hawana madhara maana nao ni mkusanyiko!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.