Mwanzisha mada anayejulikana kama Jiwe jeusi ameuliza kesi ya marehemu Shelembi itakuwaje nayeye ametangulia mbele ya haki? Mwenye ujuzi katika hili atujulishe.
Wewe ni hasara tupu. Kila hoja uliyoitaja CDM wana maelezo yake, wewe ulichoongea ni defence yako na CCM, kwanini usichallenge arguments zao unajichallenge mwenyewe?
Ukipata nafasi ya kuongea nao wambie juhudi zao haziwezi kuzuia mvua kunyesha. Nguvu ya Chadema ni kama mvua!Wataishia kunyeshewa tu.
M.Kiti Mbowe na Katibu Mkuu Dr. Slaa chukueni hatua tafadhali mtulinde.
Kura zinatokana na wananchi walioelimishwa ili waweze kuchagua kati ya nyeupe na nyeusi. Bila elimu nisawa na mtu asiyejua jibu sahihi kati ya A, B na C anapoamua kufumba macho na kushusha kalamu kwamba itakapoangukia ndo jibu sahihi. Uchaguzi hauko nanmna hiyo.
Elimu inayotolewa na CDM ndio...
Ukikubali ubondia usiogope ngumi za usoni. Nape anaongea mambo yanayokuja kupingwa na bosi wake Wilson Mkama, anataka watu wasihoji kweli?
Hakika kazi ipo.
Ukikubali ubondia usiogope ngumi za usoni. Nnape anaongea mambo yanayokuja kupingwa na bosi wake Wilson Mkama, anataka watu wasihoji kweli?
Hakika kazi ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.