Sasa wewe unaharibu mada iliopo kwa kuingiza udini humu. Au na wewe ni wale wale mliotumwa unakuja kwa njia nyingine....? Acha kupotosha mada kwa kuingiza udini.
Kwa hili jamani tumpongeze..... Amechangia kwa manufaa ya taifa sio chama. Chadema tuongeze juhudi ya kufanya harambee kama hizi katika majimbo tofauti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.