Tuwe wakweli, chama kilichoshindwa kujijenga chenyewe hakiwezi kujenga nchi. Chama ambacho tangu mfumo wa vyama vingi urudishwe kinapata ruzuku ya sh. Bilioni 2 kwa mwezi na hakijawahi kujenga hata kibanda zaidi ya kuwapa wahindi viwanja wajenge majengo ya kibiashara kwa mikataba ya miaka 100...
Pasco wachangiaji wapenzi wa CDM ni raia wenye mapenzi ya dhati na CDM wanatoboka mifuko kukipigania chama. CCM kwakujua hilo wameinstruct makampuni ya simu kupaisha gharama za intarnet bundles hivyo kucut off uwezo wa wengi kupost threads. Kwa sasa identity fake za marcenaries ndio wachangiaji...
Napendekeza ZZK agombee ubunge jimbo la ubungo ili amfunze adabu huyo mnayemwita form six. Mtauona moto wa gesi unachomaje. Chezea mutoto ya msukuma wewee.
Huwezi ukawa na chama madhubuti kinachoishi kwa kuwa na wafuasi wa watu. Chama imara kinachokana na wanachama imara wanaojua na kuishi kutokana na misingi ya chama chao na si vinginevyo. Sasa hao wafuasi wa watu ni sawa na wale waliokuwa wafuasi wa Lyatonga, wamehama nae kila alipoenda...
Natamani sana jeshi lichukue madaraka. Kila uozo utakuwa hadharani na hapo ndipo huu usanii wa policcm na wajinga wengine utapata majibu sahihi. Jeshi letu tunawaamini kamateni nchi.
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana, unapokuwa na katiba inayotumika yoyote nyingine iliyopita inakuwa imekufa. Sasa katiba mfu utaifanyia mrejeo? Ndio maana viongozi walisema hakuna katiba inayotoa ukomo wa uongozi. Lkn kama utaamua kujitia ujinga zaidi na kujiona mjuaji, amini pia ipo katiba...
Bill Gates anatawala dunia, miongoni mwa wasomi maprofesa ulimwenguni wanaenzi na kutegemea sana uvumbuzi wake, na wewe ukiwa miongoni mwao. Mbona hana hizo degree? Wewe umesomea nje una madigirii kama mvua, kwenu mvumi wanateseka kwa umasikini, nini faida ya hayo madigirii?
Hebu tutajie miradi ya kiuchumi inayoendeshwa na CCM, na namna inavyokiimarisha chama na kuboresha uchumi wa wanachama wake, mfano SUKITA, SUWATA, mabasi ya kubeba wanafunzi n.k. Hapo tutapima faida za chama kujaza wasomi wengi.
Kwa wale waumini wa serikali mbili 1. Nchi iitwayo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni ipi? Yaani muungano wa Tanzania ni upi? Au ni Jamhuri ya muungano ya Tanzania? Nadhani wajuzi wa kiswahili watudadavulie.
2. Jamhuri hii ina ardhi yake? Je, inaendeshwa kwa mapato yatokanayo na rasilimali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.