Jamani mm sijui kama hawa watu ni matapeli ila walikuja ofisini kwetu kuomba kuweka mnara wao ila tumeshindana bei wanataka kulipa sh 63,000 kwa mwezi ila sisi tulitaka sh 800,000 kwa mwezi. Walikuja wavietnam wawili na mtanzania mmoja
Wakati wa kura ya maoni wananchi turuhusiwe kupiga kura ya wazi ili kupitisha katiba mpya iliyopendekezwa na bunge maalumu. Vile vile turuhusiwe kupige kura popote pale tulipo na hata kwa njia ya mtandao.
Napata shida sana kutafuta chanzo cha kushuka kwa ubora wa elimu nchini hususani pale ambapo unakuta kuna wanafunzi wanahitimu darasa la saba bila kujua kusoma wala kuandika. kwa misingi hiyo je kulikuwa na migomo baridi toka huko nyuma inayosababisha kushuka kwa kiwango cha elimu au tatizo ni...
anayo
sema
Mh.Zito ni ukweli kama ilivyoelezwa na Mh. Rostam Azizi kuwa hizi ni siasa Uchwara na watanzania tusipowashtukia hawa watatupeleka pabaya. Kama tatizo ni uenyekiti wa POAC basi waitafute kwa utaratibu maalum na sio siasa za kupakana matope. Naamini ukweli utajulikana tu na tutajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.