ww ni mswahili na mpiga chapa tu muolewaji haombi maoni mtandaoni kamwe,
Nachosema ww walie vyao tu kwakuwa umeamua kuufanya mwili wako sehemu ya biashara
Aise hapa sion uhalisia wa ww kufanya kilimo unachokisema hapo; otherwise ulikuwa unasimamia shamba la tajiri yako sasa unatwambia kuwa ni ww aise, vijana wa mjini bhana hatariii, aliekula hasara katulia tuliii wala hata haongei lolote ispokuwa anawaza jinsi atakavolipa deni hilo
wazungu walishaanza yao tena, baada ya kupata sayari nyingine wakakomba mipesa kwenda kuishi angani sasa huku kwetu hali tete na hapo bado hawajahamisha account zao tayari mambo yameanza kwenda mlama mzungu mzungu tuhurumien sie weusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.