Weka tangazo,mahali ulipo bei ya saa na aina yake pamoja na namba ya simu
karibuni.
Vigezo vya msingi unavyopaswa kuzingatia kabla hujaweka tangazo;
Elezea huduma/bidhaa unayouza kwa maelezo machache yanayojitosheleza
Elezea hali ya bidhaa (mpya au imetumika muda gani) huku ukiambatanisha na...
Mbona mzee amehitaji majibu mazuri tu, bei ya sukari ni ya nchi nzima mbona upande mmoja wa nchi kuwe na bei nzuri kwa walaji na upande mwingine kuwe na bei nzuri kwa wauzaji? Kama majibu yake anasema ni kwa sababu Kawe wamekosa mwakilishi anayefaa kusemea suala hilo, kwani bei hiyo ipo Kawe...
Mzee rukhsa mjanja, amesoma upepo unavumaje na yeye kajiongeza. Amenena wanayopenda kusikia wenye mamlaka. Huoni ajabu wanashughulikiwa wanao tetea katiba na na wanaotetea kuvunjwa kwa katiba wanashangiliwa kwa makofi na vigelegele. Usimshangae rukhsa, au hujamsikia mwenye bunge lake na Kesi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.