Wananchi wataandamana??Mdau mmoja kaniambia jana wabunge wa chadema walikuwa wanakunywa wine baada ya kutoka nje ya bunge pale dom hotel,tena kwa hela yetu wavuja jasho.Wote wezi tu
Waraka huu umesomwa muda si mrefu mbele ya vyombo vya habari zaidi ya 15 huko Dodoma.
TAMKO LA VIJANA WASOMI WA VYUO VIKUU WA MKOA WA DODOMA, KUHUSU KITENDO CHA BAADHI YA WABUNGE WA CHADEMA KUTOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE
NDUGU WAANDISHI WA HABARI,
NDUGU WANANCHI
Awali ya yote nawashukuru...
Awali ya yote, nasikitika sana kwa maamuzi yaliyofikiwa na wajumbe 31 kule Dodoma aidha, kwa hasira, chuki au majungu na kuamua kuniondoa katika wadhifa niliokuwa nao wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara wakitumia kivuli cha Katiba ya Chama. Pili nimezidi kuumia zaidi pale nilipotuhumiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.