Kwenye red hapo ni Kipande, Hapo kwenye red ya pili hajawahi kuwa mkurugenzi wa mizani tanroads, bali ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Ujenzi nafasi ambayo alikuwa anaishikilia mpaka anateuliwa kuchukua nafasi hii ya sasa. Ila haswaa ni huyo unaemfahamu
Hongera sana Eng. Madeni Shamte Kipande kwa kuteuliwa kuchukuwa nafasi hiyo nyeti na juu kabisa katika taasisi za umma nchini. Kwa ninavyomfahamu mimi ninauhakika mamlaka ya bandari imepata kiongozi shupavu, jasiri, makini mwenye kuthubutu pia mwenye upeo wa hali juu. Tunatumai utaiongoza...
Jamaa wajua kutabiri wewe, itabidi tukupe mikoba ya sheikh yahya, Man Utd Alifungwa kweli 3 - 1 na chelsea, Magoli ya chelsea yalifungwa na Chriss Smalling, Louis Nani na Wayne rooney na lile la kufutia machozi la Man Utd liliwekwa kimiani na torreeeeeeeeeesssss
Walipofungwa kwenye fainali ya ligi ya mabingwa ulaya May, 28, mwaka huu Sir Alex Ferguson aliahidi kutengeneza kikosi ambacho kitaifunga Barcelona na kuchukua ubingwa wa ulaya msimu huu. Je wewe unaamini kikosi hiki cha sasa cha mabingwa watetezi Uingereza kinaweza kweli kuifunga Barcelona...
Hapo kwenye red, chakufanya wale wenye uwezo wa kumiliki vilabu kama alivyofanya Bakharesa (Azam FC) wafanye hivyo na kuviendeleza kama ambavyo wanavyofanya Azam. Hii itasababisha natural death kwa Simba na Yanga. Vilevile pia management ya hizo timu isiwe chini ya Watanzania kwa kuwa ninaamini...
Inakaribia miaka 30 sasa tangu Tanzania ishiriki mara ya mwisho kwenye mashindano makubwa zaidi ya soka barani Afrika, CAN. Na kwa hali jinsi ilivyo kwasasa sidhani kama tunaweza kushiriki kwenye mashindano hayo milele. Mimi nadhani ni kutokana na mfumo wa soka letu na haswa klabu kongwe za...
Mimi nadhani zito kabwe na wabunge wa CHADEMA kwa ujumla wapo one step ahead, kwanza wangeanza kuishurutisha serikali waongeze mishahara kwa wafanyakazi wake wote halafu ndio wangefuatia kwenye kufuta hizo posho. Kwa scale hizi za sasa za watumishi wa umma uamuzi wanaotaka CHADEMA na zito kabwe...
Mwanajamii mwenzetu ameuliza tu jamani, kama kuna muelewa atujuze zaidi, tupunguze waungwana. Ila hii kitu ni kali, eti Chaga Development Manifesto, kweli kua uyaone.:gossip:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.