nami naungana na wenzangu asigombee ubunge hata ukitokea popote, atapoteza mvuto wake ikatokea akashindwa, tunamtegemea sana kuikomboa nchi na wananchi wake baadaye, aendelee kuimarisha chama chake hadi kwenye grassroot.
Kuhusu muungano, ni kama tunawalazimisha kuungana nao, nadhani kuja haja ya kuangalia upya kuwepo na serikali tatu au uvunjike tu, mie sion tunachofaidika kutoka kwao, wao ndiyo wananufaika sana na rasilimali zetu.
kama kweli unampenda saana mwenzako, miezi miwili ni mwafaka kama alijifungua salama, ila akiomba mwenyewe mpe, pia unaweza kuwa unamuuliza, vipi mama unaweza kunipako kidogooo!!!!:smile-big::smile-big:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.