Mkunde ni zaidi ya noma, amnamsimulia mwenzake kisa cha kuwa na chongo. akasema alikuwa amejilaza chuni my miti wa minyaa huku akimchungulia ndege aliyekuwa juu ya mnyaa huo kwa bahati mbaya utomvu wa minyaa ukawa unadondoka akaona uvivu kufumba macho na utomvu ukaingia jichoni hatimae akawa na...
jambo la msingi ni kwenda ANGAZA mkitoka hapo majibu mtakuwa nayo na utajua kipi cha kufanya, lkin angalia usije muumiza mdada wa watu, na je ww unamchukuliaje? labada hapo awali ni kweli alikuwa nae bf sasa kawaweka ktk mizani na ww umekuwa na uzito mkubwa ndiyo maana kashoboka na hataki tena her X
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.