habari wadau.mimi nna tatizo la kutokea vijipu kama vimejaa maji pembeni ya kucha.vikitumbuka vinauma na vinatengeneza kidonda. vinaambukizana kidole baada ya kidole.. nilienda hosp wakaniambia ni fangas ila tatizo ninanyonyesha bado na dawa waliniambia hatakiwi mama anayenyonyesha. zinanitesa...
habari zenu wakuu,mimi nipo hapa bongo nataka kufungua account ya paypal.. Hivi inawezekana kwa hapa bongo, mwenye nayo naomba anielekeze na jinsi ya kudeposite hela na n.k... Nisaidieni wakuu
aisee nimeshindwa kabisa. Ni njia gani nyingine ya kubrowse maana mi huwa natumia opera tu kwenye simu, jamani wenye nokia E5 nisaidieni,jinsi ya kubrowse kama hutumii opera
habari wakuu,nina simu ya nokia E5 ambayo ina 3g.. Nimeinstall aljazeera live kutoka kwenye opera na ninaweza ku watch aljazeera headlines za kila siku.. Sasa nimeinstall na dstv lakini kila nikiselect chanell ili niifungue napata msg kuwa the service is not available in ur country or contact ur...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.