Hivi TRA si wana calculator ya ushuru? hebu tutafute ukweli kwa kutumia hii calculator, tuwekee detail za gari na mwaka wake.. Tanzania Revenue Authority - Calculators & tools
Mwanakijiji mimi ni kijana mtiifu kwa Dr. Slaa, tena mimi ni muumini wa fikra zako. Lakini kwa hili la Lowassa mtanisamehe sana. Anyway nitatubu rasmi tar.26....
Huku G/Mboto nenda baa yeyote, taarifa ya habari kampeni za lowasa ikianza tu, watu wanashangilia kwa miluzi utadhani Sanchez kafunga goli mechi ya Man u!
Ikitokea Lowasa ajitokeze na kusema "msinichague, lile dili la Richmond nilipiga" Mie bado nitamchagua... Kwa sababu ninaamini atakuwa ametumwa na CCM kuisaliti UKAWA!
Hapana, tusikubari kushindwa kirahisi hivi, kumbukeni kuna hii kete ya ACT, inaweza kugawa kura za Lowasa. CDM Vasili wanaweza pigs kura za hasira Kwa ACT...
"Lowassa Akishinda: Kama Lowassa akishinda (kinadharia tu japo haitotokea)"
Hapa ndipo huwa natofautiana na Dr. Slaa pamoja na wewe, mengine mengi huwa nawasupport...
Namuheshimu sana Dr. Kwa chochote atakachokisema. Nilitamani sana Dr. Awe rais Wangu ajaye, nilisononeka sana alipowekwa pembeni na nafasi hiyo kupewa Edward... Lakini iwe na iwavyo, tayari nimeshafanya maamuzi, ya kushiriki kuiondosha CCM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.