Acha kuongea ujinga wewe kampuni ya African Queen mgeni wake alishashambuliwa na mambo hapo,hata Tanzania Specialist….
Hao wanaosema hakuna wanafaidika na hiyo sehemu lakin ukweli ni kwamba Mamba Chemka wapo..
Mmesahau hizo bendera na mabango mliyaweka kwa nguvu na kuondosha ya chdema kwa msaada wa mwendazake?
Umesahau kwamba tangu ruhusa ya kujenga na kufanya mikutano kwa vyama ndio imetolewa.
Subiri sindano ikuingie
Afadhali Dodoma,nadhani arusha ndio mkoa unaoongoza kwa kuwa na hawa watu wengi barabarani,yan ukiweza kutembea 5km hujakutana nao shukuru..
Na wengi wao wanaangaiza rushwa..
Umefanya upotoshaji mkubwa sana,Biashara ya Indrive haimlazimu dereva kwenda mahali ambapo yeye hajakubaliana na nauli husika.
Indrive wao wanampa mteja wao nafasi ya kukata ofa yake na dereva ndio unaamua kukubali kwamba itakulipa au haitakulipa tofaut na kampuni nyingine kama Bolt na Uber wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.