Overseas, yeah, we tryna stop terrorism
But we still got terrorists here livin'
In the USA, the big CIA
The Bloods and the Crips and the KKK...
Verse ya Will.I.am hiyo kwenye where is the love
Hao KKK ndio Ku Klux Klan...walikuwa wauaji wa watu wasio wazungu Marekani pia wanasiasa wa...
Kwanza tunawahesabu waliokufa kwa tabu,bila hata matibabu wengi hawana hesabu waliokufa kwa tabu dunianiiii,
Kambona aliagiza Chipaka na kamalizaa,pindueni mkiweza nitawapeni mafedhaa nikirudi safarini uingerezaaa
Nakumbuka hapo tu....sijui ni nani alikatunga haka kasongi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.