Search results

  1. N

    Wito wa mpito kwa DPP: Wakili aliyemwandaa ACP Kingai aondolewe jopo la Mashtaka la akina Mbowe

    Hakuna kazi inayohitaji akili kubwa kama kutunga uongo wa kudanya watu wengi!
  2. N

    Vikwazo vya Marekani: NEC yasema hatua za kisheria zifuatwe pale panapoonekana pana kasoro

    Viongozi badilikeni , Nchi na Taasisi nyingi Duniani kwa sasa zinaongozwa kidigiatli, watu wana twit na ujumbe unafika. Mkisubiri taarifa rasmi wenzenu wana chanja mbuga, Wanafanya mamuzi . Trump ameongoza Marekani miaka 4 kwa twitter.
  3. N

    Uchaguzi 2020 CASE STUDY - Jimbo la Hai - Walitumia teknolojia gani kupata matokeo sahihi ya kila kituo ndani ya saa 8?

    Ukweli ni kwamba polisi , makarani na mawakala waliosimamia uchaguzi hawakutoka nje ya nchi. Siku moja kabla ya uchaguzi kuna karani mmoja wa jimbo la Moshi mjini alisikika akiongea kwenye simu kuwa wao wameelekezwa kwamba wakati wa kuhesabu kura karani atasoma kura hatazilizo tikiwa kwa...
  4. N

    Uchaguzi 2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

    kuna utwasikia wakisema ucahuguzi huu lazima tunashinda ukiwauliza mnashindaje bila soni utasikia '' Tutaiba" . Mwizi lake giza na kificho. Mbona chaguzi za ndani za vyama zilionyeshwa mbashara. Iweje uchaguzi uwe siri?
  5. N

    Uchaguzi 2020 Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya kupigia kura imetushtua

    Mgogoro unatoka wapi wakati matokeo yanahesabiwa na kurekodiwa na mawakala wote. Tume isisahau tumeonyeshwa uchaguzi huru na wa wazi kabisa (mbashara) na chaguzi za ndani za vyama CCM na Chadema , huu usiri wa TUME faida yake nini? . Chaguzi za ndani za vyama zimeonywashwa mbashara nyie mnaficha...
  6. N

    Nina zawadi maalum kwa wazazi wa Tundu Lissu

    Tundu Antipasi Lissu ana sifa nyngi alizo kuwa nazo Mwl Julias Kambalage Nyerere, Ujasiri, Ukweli, kupigania haki, AKILI ya kubwa. Kwa sasa tunaweza kusema tumepta Kaka wa Taifa. Kwa umri wake anafaa kuitwa kaka wa Taifa la Tanzania
  7. N

    Asante Mungu kwa kutupatia Tundu Lissu

    Nakubaliana na wewe kwamba inaweza kuwa ni mpango mzuri wa Mungu. Herode alipo ambiwa mfalme amezaliwa aliua watoto wakiume wote wa umri wa miaka 2 kwenda chini ? Habari njema ni kwamba hakumwua YESU.
  8. N

    Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndani ya Mwendokasi kuelekea Kariakoo

    27% ya mshahara wangu inakatwa kodi, niknunua luku nakatwa kodi, nikilipia bill ya maji nalipa kodi, huo mwendo kasi wenyewe nauli yake kuna kodi, ukinunua maji unalipa kodi , ukinywa bia kuna kodi, Kwa hiyo kila Mtazania analipa kodi ndiyo zinazo kusanywa na serikali ( siyo CCM ) kujenga shule...
  9. N

    Uchaguzi 2020 Salumu Mwalimu: Biashara zote za Serikali kubinafsishwa

    Shida ndio hiyo tunadhani siasa ni uongo ! Mtu anakumbia vitambulisho ni Muhimu unashagilia , vitambulisho siyo lazima unashangilia , vitambulisho vinatumika kutoa mikopo unashangilia wakati havina jina,picha wala saini ya mmiliki .
  10. N

    Uchaguzi 2020 Dar: Helkopta ya Kampeni ya Tundu Lissu, yanyimwa kibali cha kutumia anga, ni baada ya kuomba kibali hapo jana

    Wanacho fanya ni kuzidi kuongeza hamu ya wananchi kutaka kuwasikia CHADEMA! Wapiga debe wa CHADEMA ni watendaji wa serikali.
  11. N

    Rais Magufuli awakabidhi waislamu mchango wa fedha za ujenzi wa msikiti, Shekhe wa Wilaya amshukuru

    Tanzania ya sasa yote yanawezekana, imetokea na inashangiliwa na timu ya kusifu na kuabudu.
  12. N

    Uchaguzi 2020 Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025

    Kama kutafuta umarufu ni rahisi hebu jaribu na wewe
  13. N

    Wizara ya Kilimo: Tanzania haijavamiwa na Nzige

    Paul Alex, Hao nzige wakamatwe na kufanywa chakula cha kuku wataisha wote.
  14. N

    Marekani wako very "calculated" mwaka huu wa uchaguzi. Serikali ya CCM kuweni makini

    Watakuwa wanaunga mkono ahadi ya Rais kuwa uchaguzi utakuwa huru na wa uwazi na kuwakaribisha waangalizi wa ndani na nje ya nchi.
  15. N

    Hawa wakiamua kuanzisha chama, CCM kwisha habari yake

    Hicho chama hakitasajiliwa hadi 2021. Labda watafute chama wajiunge hasa NCCR au ACT. Wakienda Chadema wakubali kuwa wanachama wa kawaida.
  16. N

    Hongera JamiiForums, mmeiamsha World Vision Tanzania sasa inajisafisha

    Mk Ajira hizo hapo zimetangazwa, waambie waweke vyeti waache maneno. Ukiona mtu anatoka Shirika moja hadi lingine (World Vision to Pact,to ActionAid, to UNICEF to WFP...) Hana Ubashite hata kidogo ! Hawezi kuwa na ndugu kote huko!!
  17. N

    Hongera JamiiForums, mmeiamsha World Vision Tanzania sasa inajisafisha

    Huyo Amy Campbel Jumla ya hela yote aliyo donate ni $ 15,000. umezidisha marangapi ukapata 200M? Huyo mama amekujia juzi ndotoni ? Mbona hapa WVT mpaka sasa hatujasikia ujio wake? Je unataarifa ya kazi iliyofanyika mpaka sasa na imegharimu kiasi gani? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni...
Back
Top Bottom