Mimi pia ningependa jibu la hoja yako.
Nini faida ya Air cooler ukilinganisha na mist fan?
Tofauti ya kiwango cha ubaridi ikoje kati ya vitu hivyo viwili?
Kama kuna watu wana uzoefu navyo watusaidie kwa ushuhuda na ushauri.
Mitazamo ya kidini ya akina Mzee Mtei na William Mushumbusi zinasikitisha sana. Hata kama Mtei si kiongozi wa CDM bado ana kofia ya uasisi na anawakilisha identity ya CDM.
Nautazama upya uungaji mkono wangu kwa Chadema. Huenda nikatengua msimamo wangu wa ki-People's Power. Aidha sitaiunga mkono...
Haule, karibu JamiiForums.
Leo hii nimekereka sana na suala la udini. Mimi ni Mkatoliki lakini siko tayari hata kwa kuning'inizwa kumtazama Dr Salim kama Mwislam. Dr Salim si Mwislam, si Mzanzibari, si Mwarabu, si Mwanaume. Dr Salim ni Dr Salim. Dr Salim ana-occupy special position katika nchi...
Kama ni kweli Mzee Mtei aliongea kauli hiya ya idadi ya Waislam basi amepotoka kweli!!! Hivi Dr Salim ana idenity ngapi?
Sasa tuanze kuzungumzia pia idadi ya Wanawake.
Mimi si mwanachama wa Chadema wala chama kingine chochote cha siasa. Lakini naegemea upande wa Chadema. Mzee Mtei hata kama si...
Yericko Nyerere na wenzako ni masanamu ya Michelini.. nguo ikishonwa begani inachanika ubavuni. Yaani Dr Salim kwa sifa zote za kiuongozi na utumishi uliotukukuka kwa nchi ya Tanzania leo hii mnaanza kumtazama kwa jicho la Uislam.. kabisa jamani? Kabisa jamani? This is SHIT!! (In capital...
Ila itachukua muda kwa politics kuacha interference katika mambo ya msingi. Maybe something has to be done. Honestly, katika sinema nazofikiria kuandaa nitakuwa nachomeka vijembe kwa watu wa politics. Kuna filamu naifikiria, nitakutaarifu.
Mimi ni Pro-CDM lakini sikubaliani na kauli za Lema.
Wadau wa sheria wanasema kosa alilotiwa hatiani Lema ni "Illegal Campain" ambalo kifungu husika ni 108 na si 114 (Illegal Practice) aliyosema Jaji.
CCM si bata tu bali Mabata yenye roho mbaya, mbona kesi za rushwa zinapigwa danadana? Soma...
Ni vigumu kukubaliana kwa kila kitu, ikitokea hivyo huwa ni kwa matukio machache sana. Ulichoandika hapa ni moja ya matukio yatokeayo kwa uchache kwani nakubaliana nawe kwa ASILIMIA MIA MOJA, katika kila neno, sentensi na hata mpangilio wa kile ulichosema.
WELL SAID MKUU!!
Mimi si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Hata hivyo nina ushabiki mkubwa kupindukia kwa CHADEMA. Sikubaliani na matumizi ya kauli za "Mwanamke huyu si mwaminifu kwenye ndoa hivyo........" hata kama haya si matusi dhahiri. Mi namwona Lema kama mbunge mtata sana. Ukiachana na suala hili la...
Director Peter Jackson alifanya kazi kubwa kweli. Nikuulize swali la kizushi, unadhani itachukua muda gani kwa sisi Watanzania kuweza kuandaa filamu yenye kiwango kama hicho?
"......................" ila tatizo sasa bibi kuzungushwa uchi, kukalishwa chini, kupigwa dah!!! "........................"!!! Basi tu!! Lakini ngoja kwanza, hivi inakuwaje aisee!!!
Mtu asipotaja nyimbo mbili nzito za Heal the World na Will you be there huwa simwelewi kabisa. Naona "makosa" yamejirudia katika thread hii. Actually sishabikii nyimbo hizi kwa sababu ya usikikaji wake mzuri (melody) pekee bali kila neno, mstari na mtiririko wa maneno katika mashairi. Napenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.