So what should you do if you are attacked by bees?
Run! Some people make the mistake of standing in place and swatting bees, but this only gives bees more time to recruit from the colony, and results in more stings. Get to shelter as quickly as you can. Get in a car or building that can be...
Jambo la busara ni kwa mawakala kwa umoja wao wakawa na chama chao chenye nguvu waweze ku negotiate commissions na makampuni ya simu. Vinginevyo, tunafanya kazi kama vibarua wasio na thamani..
Wengine hurudi nazo nyumbani na wengine hufungia kwenye safe dukani! Wewe unazitunza vipi? Naomba mchango hasa wale wanaofanya biashara za M-Pesa, Tigo-pesa na wengine!
Ijumaa wiki iliyopita nilipeleka gari langu aina ya TOYOTA SPACIO(old model) kwa fundi ili kubadili CV joints maana zilikuwa zinapiga kelele. Baada ya kazi nilikabidhiwa gari langu lakini nilipoendesha kama kilometa moja hivi, break zikawa ngumu sana nikalazimika kusima kwa kutumia hand break...
B. B. McKinney wrote a song called Satisfied With Jesus in 1926 that reveals the satisfaction that comes form our Lord.
SATISFIED WITH JESUS
1 I am satisfied with Jesus,
He has done so much for me:
He has suffered to redeem me,
He has died to set me free.
Chorus:
I am satisfied, I am...
Wakuu, natafuta nyumba ya kupanga kuanzia mwezi wa 7. Maeneo ya Kunduchi, Salasala, Mbezi beach na sehemu jirani na hapo. Vyumba vitatu, packing na fence. Budget yangu ni sh 450,000 - sh 500,000 kwa mwezi. 0717351000
Muda mfupi uliopita nimechukua form za kuomba kuwa wakala wa CRDB huduma. Tayari ninafanya uwakala wa tigo, airtel na M-pesa. Nilikuwa anaomba mwenye uzoefu wa Uwakala wa fahari huduma anijuze hali ikoje? Biashara hii inalipa? Ina wateja? Msaada wa ideas tafadhali!
nimeangalia katika website ya tcu nikakuta jina langu kuwa nimechaguliwa kwenda Udom. Lakini juzi nilipoangalia majina yaliyotolewa na Udom, sikuona jina langu. Wadau hili likoje?
Jamani, baada kuangalia kwenye website ya TCU, nimeona jina langu kwamba nimechaguliwa kwenda Udom. Lakini kwenye list ambayo imetolewa na Udom, jina langu halimo. Sijui tatatizo liko wapo!
Ingekuwa jambo la busara kama mawakala wa M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money tunge unda ka umoja fulani hivi ili kutetea maslahi yetu. Tunaweza hata ku negotiate rates za commissions!
Wakuu natafuta line ya tigo pesa ili kufungua duka la uwakala wa Tigo pesa. Kama kuna mtu anayo au anafahamu pa kuipata awasiliane nami kwa 0757005468.
Ziko Mbuyuni (Njia Panda ya kwenda Kunduchi Beach) kutoka Bagamoyo road.
- Zina vyumba 4 kila moja,
- Bathroom 4
- Jiko kubwa.
- AC katika vyumba viwili kati ya vinne,
- Underground water tanks,
- Zina ghorofa moja ( chumba kimoja chini na vyumba vitatu juu)
- Kuna vibanda vya mapumziko juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.