Daaaah ila waziri wenu wa mambo ya ndani Mathias Chikawe kichwani hakuna kitu kabisa yani waziri ana cheni ya gold shingoni anahutubia bunge kwa mujib wa maandiko matakatifu kuwa gold zinavaliwa na watoto wa kike sio wa kiume ili ziwape hamasa zaidi sasa zinapovaliwa na mtoto wa kiume madhara...
Lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho alisahau kutumia protector ili maajab ya mola wake yaweze kutimia kwa kuwa alifanya kaz siku 6 na ya 7 akapumzka ni jambo jema kuwa amejifungua salama
Nimependa jinsi alivyo jiuzuru kwa akili kubwa sana cz tayar ametengeneza mazingira ya watu flani kama mengi kutofanikisha project zao za kuifilis hii nchi
daaaah watu wenye mioyo kama nyinyi ni wachache sana katka ulimwengu huu kama kweli namba uliyoweka ni kwa ajili ya icho ulichokisadiki hapo juu mkuu ongera kwa hilo kiongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.