Mbona ma-ccm mnajitetemesha na hoja za ajabu ajabu! Nani kasema Cuf wamemwachia Chadema jimbo huko Unguja!?! Jimbo linalozungumziwa hapa Cuf hajawahi kushinda tangu kuanzishwa kwake!
Hata katika uchaguzi mkuu uliopita Chadema walishika nafasi ya pili! katika hali hiyo inawezekanaje cuf awe...
Wadau, nahitaji kufahamu ni wapi (katika mtandao upi) naweza kupata sheria mbalimbali za nchi yetu kwa ukamilifu wake. Mara nyingi kumekuwa na utamaduni wa kunukuu vifungu vya sheria fulani fulani na hii mara nyingine inatunyima fursa ya kuzifahamu sheria hizi kwa ukamilifu wake kimahudhui...
Angalia kwa makini video hii na pia sikiliza kwa makini interview ya Karume, Okello na Babu kisha tafakari ni vipi Karume anaitwa kiongozi wa mapinduzi, inashangaza sana!
alianza taratibu before 2010, mara tukamuona anamfanyia kampeni mumewe kwa kutumia magari ya serikali na ndege ya serikali! mara kaingia kwenye nec ya ccm, sasa anafanya ziara za kiserikali na anawakalisha kitimoto wakuu wa mikoa na kamati za ulinzi na usalama mikoani! mara tutamsikia ni mgombea...
Ni majuzi tu NICOL walishinda kesi na kuruhusiwa kutumia ofisi zao ambazo awali zilikuwa zimezuiwa, na mwenyekiti wa bodi ya Nicol ndugu Felix Mosha aliutangazia umma kwamba NICOL imeongeza faida mara tatu, na pia akaahidi kuitisha mkutano wa wawekezaji wa NICOl, naona miezi inaendelea kupita...
Hii hoja hapa si mahali pake, utafiti wako ingekuwa bora unge-present katika vikao vya uteuzi vya chama chako wakati utakapofika, kama unakipenda chama chako tafadhali tangaza sera kwa sasa!
Watu wenye upeo finyu huishia kujadili watu badala ya kujadli masuala! kwa siasa hizi nyepesi nyepesi za kunadi watu kwa ajili ya kupata mkate wa siku (kumtumikia kafiri ili upate mradi wako!) ndio maana hata vyama vya upinzani havifanikiwi! upuuzi huu wa kumnadi mgombea (wakati hakuna uchaguzi...
Hotuba kama hii aliyoitoa ZZK siwezi kuitofautisha na utetezi wowote ambao ungeweza kutolewa na mtu yeyote eidha awe ana makosa au hana! ametumia sana "vague sentences" ambazo kwa akina sie hazitusaidii sana! Ningetegemea katika press conference ile angejaribu kupiga specific issues...
Hili ni tatizo la haka kaugonjwa ka wanasiasa wetu kujiandikia habari na kuzipeleka kwenye vyombo vya habari kwa jina la mtu mwingine! Ni kaugonjwa kabaya sana maana kanafichua uchu halisi wa wanasiasa wetu! kuna msemo wa kiswahili usemao "Chema chajiuza - kibaya chajitembeza" ndio haya...
Tatizo sio mkataba wenyewe, tatizo ni kwamba mkataba haukufwatwa tangu mwanzo wake. ulichokiweka hapa ni mkataba ambao ulijadiliwa na bunge la Tanganyika. mkataba ulitaka pia bunge la Zanziba liujadili na kuupitisha ndipo usainiwe kuwa sheria rasmi ya kuanzisha Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.