Hapo HAKUNA LAWAMA YOYOTE kwa makampuni ya simu na ndio malipo ya dhambi ya kujaribu kukwepa kodi. Kama ni mfanyabiashara na umeona umuhimu wa matumizi ya malipo kwa njia ya simu zipo huduma maalumu za malipo unasubscribe ambazo mlipaji hawezi kutoa pesa alizolipa kwa huduma/bidhaa alizonunua...
Juzi boss wake alipoita wale waliostaafu wamshauri, Jaji Samatta alizungumzia jambo hili hili. Na yeye kalirudia tena licha ya boss kuahidi kufuata maneno ya wazee. Yeye katudhihirishia uitishwaji wa kikao kile haukuwa na dhati ndani yake bali boss alimiss kusikika tu na kwamba kauli za hovyo...
Kwani wapi iliandikwa kuwa ni LAZIMA marehemu apewe sifa za uongo zisizo zake?? Tuna unafiki wa kumuona adui kila anayejaribu kumuelezea marehemu kwa usahihi, ni kweli hufahamu maana ya SUPER STAR mkuu?
Tuna kizazi cha ajabu kabisa aisee!! Maradhi lukuki ya siku hizi yamesababisha watoto wengi wakulie maziwa ya ng'ombe na kuambulia ulemavu wa fikra. Hawafikiri kabisaaa kama mama zao "ng'ombe".
HIV sio tisho tena kwa maisha ya leo japo hatari ipo lakini ni kama hatari ya magonjwa na hali zingine tu na mengine ni hatari zaidi ya HIV. Tatizo ambalo ni kubwa kuliko hata ugonjwa wenyewe ni UNYANYAPAA na hakika bado tuna safari ndefu kwenye hili. Kuna watu hufikiri kwamba ugonjwa huu sio wa...
Nokia 1100 yangu nilianza kuitumia na line ya CELTEL (Sasa airtel). Line ilikuwa Sh. 4000, unanunua kwenye pack utadhani umefungiwa CD kadhaa humu ndani, pack kubwa kinoma. Humo ndani kuna tuvitabu tuwili tukubwa tu twa maelekezo.
Hapa kuna mawili, either bado upo kwa mama yako unakula bure au una kipato cha kungoja ulipwe mwisho wa mwezi na hufahamu strategies za wanaume za kutafuta pesa mjini. Sisi tunaochakarika ukikosekana hewani kwa muda wa saa moja kwa sababu yoyote ile ni hasara kuu.
Sina hakika kama hili linatokea kwa mitandao mingine pia, maana kwangu binafsi na watu wangu wa karibu niliowasikia yanatokea kwenye line zao za Vodacom Tanzania pekee. Ninatumia line zote za mitandao inayotoa huduma hapa bara lakini sijaona kwa mtandao mwingine zaidi ya Vodacom. Awali ilianza...
Boss anavyoenjoy michezo ya kunyofoana uhai na kutesana atachukiaje kauli inayokuna kama hii ya kijana wake mpendwa? Anatafutiwa cheo kipya huyo. By the way tungemuona mnafiki tu, maana tungejiuliza ni lini kaanza kuheshimu haki za wengine kuishi?
Hawana jipya hawa. Kuna tofauti kubwa kati ya comedy na UPUUZI. Baada ya kina Masanja kutoka ilibidi kibuniwe kitu kingine pale. Sijui kipindi kinawafaa nini EATV hiki kipindi.
Hakika. Majuzi Malisa anaongea uongo waziwazi kwenye page yake fb, najaribu kumkosoa kwa ushahidi unaoishi vijana wa chama chake wanantukania mama mzazi! At first nilikuwa sipendezwi hata kidogo na ile hali ya hawa jamaa kuitwa nyumbu, lakini sasa naanza kuelewa aliyewapa hilo jina yalimkuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.