JE HII NI SERIKALI YA CCM?
Ndugu zangu kuna jambo naona tukiliacha liendelee hivi linavyoendelea linaweza kutuletea shida baadae,nalo ni hili la wabunge wa CCM na msemo wao wa Serikali ya CCM.Wamekuwa wakisema hivi mara kadhaa hasa wanapokuwa wakichangia hoja mbalimbali bungeni.
Hili si jambo...
Si mmesikia wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wamejiuzulu ili kupisha safu mpya zitakazorudisha imani kwa wananchi,Kimsingi hilo halitoshi inatakiwa waendelee hadi Serikalini ambapo wale walioonekana kutomsaidia Rais waengeliwi.
Pia wajumbe wa NEC kuendelea kuwa viongozi serikalini kwa maana ya...
Ni matumaini yangu wote tumekuwa mashuhuda wa mabadiliko makubwa ya kisiasa na demokrasia miongoni mwa watanzania kwa kufanya maamuzi sahihi hasa katika nafasi za Ubunge. Tumeweza kuona sura mpya za vijana wengi wakishinda nafasi za Ubunge.
Ninachotarajia ni kuwa sasa tutakuwa na bunge...
Mimi sipo mbali sana na mawazo yako kuhusu midahalo ya wagombea ila ninachotaka kuongeza ni kwamba nadhani CCM inaogopa kushiriki midahalo hiyo kutokana na kushindwa kutimiza matarajio ya watanzania katika awamu ya nne inayoishia. Mwl.J.K.Nyerere aliwahi kusema "tutawauliza hata wgombea wenye...
Awali yote napend kuwaslimia ndugu zangu wa Jamii Forum,Leo napenda kuzungimzia pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea urais wa CCM kuhusu kukiuka mkataba wa Sheria ya gharama za Uchaguzi ya mwaka 2010.
Hivi kuna mtu alitegemea kuwa msajili wa vyama vya siasa angefanya maamuzi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.