Thinking you will be one of the great thinkers my friend!!!...well the msg is very clear...Aliyaongea hayo mwaka 95 hapo zamani Kilimanjaro hoteli...Kwa tafsiri ya saivi ni kwamba CCM imeshapoteza muelekeo kwa kua chama saivi kimeshajaa madudu!. Kwa maana hiyo basi, viongozi wangekua makini na...
Na haya aliyasema "UCHAGUZI wa mwaka huu kuna watu wa ajabu ndani ya CCM ambao hawafanani na chama. Watu wengi wenye kasoro wamejiingiza na kukichafua chama. Sasa CCM kimekuwa kama kokoro, kinabeba pia watu wachafu."
Kwa mtazamo wa haraka haraka katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, nimeshuhudia wanasiasa wengi wakishidwa kutimiza ahadi walizotupa hapo mwanzo. Na sasa wanarudi tena katika majukwaa ya siasa na kutuomba ridhaa ili tuwape muda mwingine, cha kushangaza ni kwamba! baada ya kukaa na kutueleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.