Kwa taarifa nilizo nazo za uhakika, Benki hii makao makuu yake yako PPF Tower 3rd Floor kwa muda na mwezi March,2012 itahamia jengo la jirani PSPF 1st floor. imeanza na branch moja kariako na baadae January itafungua Nyerere Road karibu na Quality Plaza na march PSPF chini. Unaweza kwenda...
Kweli kauli mbiu imetulia, CDM wajipange kulinda kura zisichakachuliwe. Kamanda Mnyika, Mdee na Wenje watawaonyesha wana Igunga namna ya kulinda kura kwani maeneo kama Ubungo, Mwanza na Kawe bila nguvu ya vijana kulinda kwa nguvu hawa wote wasingekuwa bungeni.
Mimi nachukia sana ufisadi, hasa ukizingatia ulivyolitafuna taifa letu kwa kiasi kikubwa. adha, dhiki na shida zinaaowapata watanzania chanzo chake ni ufisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.