Daaaaa,
Mkuu unachekesha umekosa cha kupost au?? Kwa Taarifa yako kwenye sala si wote huwa wanavumba macho kuna baadhi unaweza kuwakuta wakipepesa macho na wengine wamefunga inategemea na makuzi yako katika sala ila tunapaswa wote kufumba macho wakati wa sala...
Mimi nasema Watanzania Wakichagua CCM Mwaka huu Nashauri Tutafute Consultanct wa Kupima UWEZO wa Kufikiri wa Watanzania..."Felix Mkosamali Mbunge wa Muhambwe
Kama mnakumbuka zamani kulikuwa na vitabu vya hadithi za Alfu Ulela zilizokuwa na ukweli na uongo, kwa enzi hizi ni vigumu kuwakuta vijana wa kileo wakivisoma vitabu hivyo ila kwa Mh. Steven Masele anajaribu kutulazimisha kuvisoma vitabu hivyo tena kwa kujaribu kutuhaminisha na ujio wa kina...
Kwa mtu yeyote yule ambaye hata kama ana ufahamu wa darasani kwa kutumiatuu ule wa kufikirika ukiwa unazungumzia jina la bomani, kahama, au mbowe utakuwa unafamika mapema ni nini unachoongea...Kwa familia ya Mbowe ni nani asiyefahamu ni familia iliyofanikiwa na yenye jina kwa kipindi kirefu...
mefurahi kumskia waziri husika leo akitamba redioni ya kwamba transformer zilizokuwa zimeharibika zitafungwa mpya hapo kesho.. Jamani watanzia tushafika sehemu siasa ziwekwe kando na utendaji uchukue sehemu yake inamuhia ugumu gani kutamka tranfomer zitakazofungwa ni zile zile zamani na si mpya...
LONDON (AP) A British judge on Tuesday sentenced defense contractor BAE Systems PLC to pay a fine of 500,000 pounds ($775,000) for failing to keep proper accounts of payments made to an adviser in Tanzania.
The payments were made in connection with the sale of a military...
LONDON (AP) - A British judge on Tuesday sentenced defense contractor BAE Systems PLC to pay a fine of 500,000 pounds ($775,000) for failing to keep proper accounts of payments made to an adviser in Tanzania.
The payments were made in connection with the sale of a military radar system in...
Kwa ninavyojua mimi wa leo si Mdahalo bali ni mkutanio na vyombo vya habari...so haniumizi sana kichwa kwani nani asiyejua uandishi wa vyombo vyetu vya habari vinavojua kuipamba Yanga na Simba kwenye mechi za kimataifa ila ukweli tunaujua sisi wenyewe watanzania so dsidhani kama kuna MDANGANYWA...
..Tatizo si lake na huko alipopewa hizo taarifa kuwa ELibu ya bure haiwezekani kwani hakugundua pia waliompatia hizo taarifa hawana uelewa wowote kama yeye..Kazi ipo kwa kweli
.....Eeee Baba mUNGU twakuomba utuwezeshe Watanzania kujichagulia viongozi wenye nia njema. Madhali wazisoma roho za Bin adam wote, basi utuepushie wenye nia ovu zilizojifichika mioyoni mwao, wasije wakajitia Serikalini ikawa Serikali yetu tukufu heshi kuumwa na kumbe maradhi yamebebwa...
Wanajamii wenzangu:
Funguezi link hizi hapa chini muweze kupata madahalo mzima kwa kudownload na kuhifadhi kwenye flash yako au Audio CD.
Fungua linki hizi, kisha ukishazifungua, tangali upande wako wa kushoto kuna maneno "Download" bofya hiyo ya "zip" uji-downloadie na uhifadhi kwenye flash...
Wanakijiji wenzangu fungueni hizi ambazo pia mnaweza kuzidownload na kuwa nazo kwenye Flash au Audiao Cd
Jamani ndungu zangu fungueni hizi link halafu ukitaka kusikiliza au ku-down ni wewe mwenyewe tuu:- ukishazifungua, tizama kushoto kuna maneno "Download" bofya hiyo ya "zip" ujidobloadie na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.