Kiwanja kinauzwa mbezi makabe, njia panda ya msakuzi. Kina ukubwa wa meter 45 kwa 28. Huduma za kijamii kama umeme na barabara vipo. Kina ukuta pande 3 tayari. Bei ni 22m...mnunuzi apige 0784 966 977
Kina ukubwa wa meter 45 kwa 28... Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na barabara. Kina kuta pande 3 tayari. Bei 22 million.
Serious buyer: 0784 966 977
Hata angewashika na kuwapeleka mkono kwa mkono bado hakuna ambacho kingefanyika..hii nchi sheria na vyombo vyote vya dola ni kwa ajili ya masikini..Tajiri gani aliwahi kufungwa???Kiongozi gani aliwahi kufungwa??inamaana wao wala familia zao huwa hawakosei??
ni kufananisha usingizi na kifo,vitu viwili tofauti..wakati ccm wanafikiria jinsi ya kumvua gamba,yeye alishafahamu hilo haliwezekani na alishaanza kampeni za kuelekea ikulu..juzi alikuwa kkkt usharika wa mwenge kwaajili ya kuchangia ujenzi wa kanisa,anachukua credits tu
hata kama tukichangia mafuta,bado kama hakuna uadilifu wanawza kuyaiba na kuyauza vile vile..nafikiri nchii haijakosa fedha za kuhakikisha umeme wa uhakika unakuwepo..TATIZO NI VIONGOZI WAIOTAKA KUWAJIBIKA NA HII INATOKANA NA KUWEKANA MADARAKANI KWASABABU ZA KUFAHAMIANA AND NOT KUTOKANA NA UWEZO...
Baada ya mawaziri wa wizara hiyo waliomtangulia kuondoka kwa matokeo ya kamati ya bunge kama hii,bila shaka anafata pia..angekuwa na busara hata yeye angeomba likizo,YEYE BINAFSI
sasa nchi hii ni idara gani safi?baadhi ya viongozi wa vyama vya michezo nao wamo,kumbukeni ndondi na madawa ya kulevya, baadhi ya viongozi wa dini nao wadawa..
yote haya sio mapya bongo,aliesafirisha wanyama nje nae si muarabu..mwananchi akishikwa na nayama ya swala jela miezi 9,muarabu anakamata,anapeleka kwake,baaadae anapakia kwa magari mpaka airport baadae anapakia kwa ndege kwenda kwao...TUPO TU,NO BODY CARES..kama sio ujinga huu ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.