Kuna njia tatu unazoweza kuzitumia kupata Twinkles bila ya kualika watu.
Ya kwanza ni kuzinunua. Kwa sasa zinauzwa hapa www.cryptocoinstreet.com. Inabidi ujisajili kisha upakie (upload) copy ya kitambulisho chako cha urai au passport na copy ya bili ya maji, umeme au bank statement ambayo ina...
Natarajia una PERNUM Number yako na kwamba uli create Masterpin wakati unajiunga. Vyote hivi PERNUM, Password na namba tatu zinazotolewa na system randomly kutoka kwenye Masterpin yako zinahitajika unapotaka ku login kwenye tovuti yoyote ile iliyopo chini ya mtandao wa Unicorn Network.
Ukitaka...
Cryptocurrency ya kuwekeza kwa sasa ni Rainbow Currency. Ni coin mpya hivyo haijaanza kufahamika lakini ni coin ya uhakika na ina nafasi kubwa mno ya kuzipita coins zote zilizokuwepo hadi sasa kutokana na muundo wake ambao unamuwezesha mmiliki kununua bidhaa/huduma ndani ya mtandao wa SafeZone...
Nimeshatolea maelezo kuhusu kwa nini biashara hii sio ponzi lakini kwenye uzi wangu hapa nitarudia tena kutolea maelezo ya kina kukujibu.
Kwanza ponzi scheme kama vile DECI hazina biashara yoyote zinazozifanya kuzalisha. Zinatumia hela zilizolipwa na watu waliojiunga mwanzoni kulipia watu...
Mi napata shida sana kuelewa uelewa wa watu kwenye jambo hili. Kwani hela ya mkopo siyo ya ndani ya nchi? Ingekuwa msaada hapo sawa lakini kukopa ni kutumia hela yako mwenyewe na sio ya kutoka nje.
Kukopa ni kitu kizuri tu na nchi makini hutumia hela za mkopo kuendesha nchi kwani gharama ya...
Msibani unaweza kuvaa nguo yoyote lakini sio ya chama. Ni UJINGA kuleta ushabiki wa vyama msibani. Waliovaa sare za chama msibani wote ni WAJINGA bila kujali wanatokea chama gani.
Dhamana inawekwa kwenye mikopo ya Kiislam.
Hizi ni aina kuu za huduma za mitaji kwa kutumia mfumo wa kiislam:
Mudarabah ni mkataba wa ushirikiano wa biashara (Pertnership) ambapo mmoja anatoa pesa ya mtaji wa biashara kwa asilimia 100 na mwingine anawekeza mda na ujuzi wake katika kuendesha...
Kuna tofauti kubwa sana. Kwenye mikopo ya Islamic banking, utalipa gawio la faida pale tu biashara inapopata faida. Kukiwa kuna hasara basi hulipi kitu. Kwenye mikopo ya kawaida, utalipa riba hata kama biashara imepata hasara.
Kwa watakaohitaji mchanganuo wa mahesabu (Business plan) kwa ajili ya kupata mkopo benki tuwasiliane kwa namba hii 0772 977 330 au 0658 977 330.
Utapata mchanganuo wa uhakika ndani ya siku 7 mara baada ya kutoa data zote zitakazohitajika kutoka kwako.
Kenya wako hatua chache kuhalalisha bangi kwa ajili ya matumizi yenye tija. Sisi kalagabaho!
Wakenya wakihalalisha tu bangi basi itakuwa ni sehemu kubwa sana ya uchumi wao kutokana na kukubalika kwa matumizi ya bangi sehemu nyingi duniani kama ilivyoainishwa kwenye kiungo hicho hapo chini...
Kwa wanamziki ambao wana video ya mziki na wangependa iingie kwenye mashindano ya Taifa na ya dunia ya mziki fuatilieni uzi huu Huduma ya bure ya kuingiza video yako ya mziki kwenye mashindano ya kitaifa na dunia
Kitangaze kipaji chako au msaidie msanii unayemfahamu kutangaza kipaji chake cha mziki duniani kote na hivyo kuinua fani na maslahi ya mziki ndani ya nchi yako kwa kufuatilia uzi huu Je unataka kuingia kwenye mashindano ya bure ya mziki duniani?
Kwa wale watakaohitaji mchanganuo wa mahesabu wa uhakika kwa ajili ya kupeleka benki basi utaupata ndani ya wiki moja mara baada ya kutoa data zote zinazohusiana na mradi wako. Gharama ya kutengeneza mchanganuo ni asilimia 1 ya mtaji wa biashara.
Tuwasiliane kwenye namba yoyote kati ya hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.