Nimekuw nikifwatilia mjadala unaoendelea kati ya vilabu vya ligi kuu vikiongozwa na Geofrey Nyange Kaburu na TFF ambapo vilabu vinataka ligi kuu uendeshwe na kampuni kama FIFA wanavyotaka na kama inavyofanyika katika nchi za Kenya, Uganda, na Ulaya lakini TFF hawataki kwa kuhofia kupoteza Mapato...
katika pitapita kwenye mitanndao ya kijamii leo nimekutana na hii
watanzania wenzangu, msilalamike sana! nchi yetu ina majanga mengi ambayo yamekuwa yakituumiza mwaka kwa mwaka zaidi ya huu umeme, lakini tumekuwa wastahimilivu kupita Mungu alivyotarajia. tuendelee tu na uvumilivu huu utazaa...
Wiki iliyopita nilikwenda Tabata magorofa ya NSSF kumjuza hali mama yake Zitto, ni kweli anaumwa na anahitaji ukaribu wa kijana wake, ikumbukwe kuwa mama yake Zitto pia ni Kamanda ndani ya makamanda waadilifu wa CHADEMA, jeikei na wazushi wengine acheni chokochoko zsizo na msingi na muacheni...
Now you speak like my Zitto, Ahero whon i wanted to listen always... sasa kaka hapa unalonga na tunakusikia na tunafarijika, naanza kupata usingizi sasa
Tukutuku sijui Pilipili what ever name you are, nadhani kila mtu hukosa na kujifunza tumpe nafasi nyingine Zitto... tuache kumpiga madongo. haisadii chama wala mtu yoyote... mimi nadhani adhabu tuliyompa inatosha... tumuunge mkono. tuache kumshutumu. tumpe muda ingawa tuwe makini na mienendo...
Nimekufuatilia sana mkuu Zitto na ukimya wako umenifurahisha sana, tunahitaji post kama hizi toka kwako, kazi jimboni kwako na kwenye chama. mimi ni mmoja wa mashabiki wako. always napenda kukuona upo calm. Amini wenzako wanaweza, wana akili na uelewa. listen to them, sometimes follow and learn...
Kayombo alishinda kwa ujanja ujanja
Aliyeshika nafasi ya pili nakumbuka alikuwa anaitwa DEOGRATIUS MTUI inasemekana kuwa hiki kijamaa ndicho kilikuwa kishindi halisi lakini aliibiwa kura na Zitto kwa nia ya kumsaidia Mugurusi na Kayombo akapeta...
Alberto aliongoza mapinduzi ya kipuuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.