nasikia jamaa fulani katoka Habari Corporation sasa anatamba kuwa kajivua gamba. Mnajua kilichomtoa huko? Jamaa ni mlevi kweli, akiwa analambwa mitaani akiwa fofofo sasa uongozi ukaona hauna sababu ya kuendelea kuaibishwa na mtu wa aina hiyo. Nasiki huko ofisini kwake wameshukuru.
acheni unafiki, kwenye ukweli semeni na kwenye propaganda zenu semeni, kila mtu amesikiliza mahojiano yale..hata kama mtu hamumpendi basi msionyeshe udhaifu wenu na chuki zenu, narudia kila mtu amemsikiliza na amemuelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.