Hii ni habari njema sana! Hakuna kitu itafanya ccm kitanifanya nirudishe upendo wangu ccm!
Nilishatupa kila kitu na ubabewa mwenyekitiwao mpya ndo anaongezea kichefuchefu kabisa!
Kwa mabaya walitufanyia siwezi kupigia kura ccm mini na nyumba yangu!
Hivi wewe unajua umuhimu wa upunzani kweli ?
Hivi leo isingekuwa kibano cha upinzani ungekuwa unaisifia ccm leo?
Nani aliyesababisha Magufuli awe Rais! Unadhani Magufuli alikuwa chagua la ccm?
Kama mtu unaakili hutakaa usifie ccm, maana ccm haijafanya haya tunayoyaona sasa hivi kwa hiari...
Ni mwenye akili ndogo tu ndo anaweza kusahau namna upinzani hasa chadema walivyochangia katika kuleta mabadiliko tunayoyaona sasa! Bila upinzani imara hakuna cha maana kitafanywa na ccm nchi hii, Magufuli yuko pale kwa sababu ya upinzani, bila nguvu ya upinzani ccm ingempa magufuli kugombea...
Nchi hii imejaa mbulumbulu wengi mpaka natamani niondoke! Mijitu haitaki vitu vya msingi vifanyike wanakimbilua UJI kama ulivyosema! Sasa hivi kutokana na propaganda za media za huyu jamaa mpenda sifa, watu ukiwaambia tutafute katiba kwanza utaona mijitu inaingia mitini imesharidhika na story za...
Hivxo bvitanda ni kwa ajili ya jengo jipya karibu na moi, wala siyo hivi vya magufuli! Ni wapambe tu wana wanajaribu kujipendekeza kwa magufulli kwa sababu wanamjua anayopenda sifa za kwenye media!
Sijawahi kuona serikali halali inayojiamini inahangaika na mambo ya kitoto namna hii! Utakuta hao polisi wanalipwa mpaka posho kwa kukaa barabarani kuzuia watu kuaga mwili wa marehemu! Mbona Firikujombe ccm walimzika kwa heshima zote na haikuwa nongwa?
Nadhani kuna kitu hakiko sawa ndiyo...
Kwa hili dubwana lilipotufikisha yote yanawezekana! Ila siku limeanguka puuuuu nchi itazizima kwa machozi ya furaha! Haijalishi itachukua miaka mingapi nitasubiri tu Mungu akinipa uhai! Hakuna kinachoweza kufanyika nikaipenda ccm tena!
Hivi kuna ntu mwenye akili yuko ccm? wengi wanaounga wanao laumu ukawa kutoka nje ni mbumbu tu, maana tunajua hawawezi kujua kinachomaanisgwa na ukawa maana inahitaji kusoma ili uelewe ukawa walimaanisha nini! Tatizo la mbumbumbu huishia kuangalia picha na kufanya conclusion! Na hili la picha ya...
Hivi nchi hii kuna jambo linaweza kutatuliwa kwa kukaa kimya kuisubiria serikali ya ccm iwasaidie! Kwanza wazanzibar wamekuwa waungwana sana, kipindi hiki! Kama wangeamua kudai haki kwa nguvu mwafaka ungekuwa umeshapatikana tayari!
Anajipendekeza uwaziri, wewe hujui akili za wana ccm? Ni wawinda fursa tu basi! Huyu si alikuwa mkuu wa wilaya JK akamtema!, sasa anajipendekeza iliaonekane anawaza sawa na Rais! Utaona kama atazikataa hizo laki 3 akikosa uwaziri! Chezea akili za maccm wewe!
Wewe ndo hujui maana ya bunge la vyama vingi! Mbona huko nchi zingine huwa wanazichapa mpaka ngumi! Unategemea wabunge wa upinzani wafuate mambo ya ccm anbayo kila mtu anajua ni maanbo ya ndiyooooooo hata kwenye mambo ya msingi!
Kama upinzani ukiwa kama ccm hapo bungeni sisi wananchi...
Hata mimi ningemwambia hayo hayo hasa hili la UKAWA! Kama anataka azunguke kama pia kwa miaka mitano bila cha maana ajaribu kupambana na upinzani kwa nia ya kufuta upinzani kwenye utawala wake! Hili lita mcost the most dearly! Anapashwa kujua watu wote wenye ufahamu wa mammbo wanajua kuwa...
TE=Ankazominiotra;14670154]Napenda watu wenye akili kama wewe, hamdanganyiki kirahisi.
Mimi mwenyewe sidanganyiki na huyu jamaa maana namjua anavyopenda sifa na kushangiliwa! Anaongea sana bila kuwa na tahadhari akidhani kwamba kila kitu ni rahisi tu kufanyika! Ninachokiona kwake no...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.