tafuta hela kwanza mkuu,ungekuwa na hela usingeachwa mkuu.umri wako ni mdogo sana jikite kwanza katika kutafuta maisha.ukiwa na hela wanawake utawakimbia.huyo hana time na wewe kwa sababu anaona anapoteza muda wake kwako(sor for the use of abusive lg).
naomba nikuulize maswali: mara ya mwisho kuwakumbuka wazazi wako ilikuwa lini? mara ya mwisho kuwapigia wazazi ilikuwa lini? mara ya mwisho kufikiria uje kuwa na nyumba yako ilikuwa lini? mara ya mwisho kufikiria kuja kuwa unamiliki angalau kampuni yako ni lini? mara ya mwisho kufikiria angalau...
mkuu utaratibu wao waliojiwekea ni kuwa kabla hawajakukopesha unachotaka kukopa,utatakiwa kwanza uwape marejesho ya miezi mitatu ya kiasi utakacho takiwa kurejesha kila mwezi.ukishamaliza miezi mitatu ndo wanakupa kile unachohitaji.nadhani kuna link yao ipo google nadhani unaweza ukagoogle na...
crdb inatoa mikopo mikubwa ila wana process ndefu hadi wakupatie.nmb wanamikopo midogo ila wanakupa ndani ya muda mfupi sana unaweza ukaanza process ndani ya siku tatu ukachukua mkopo. ukitaka mikopo yenye hela ndefu nenda EQUITY wanaweza kukupa hadi mil20 wanabranch yao mwenge na bagamoyo ila...
kwa sababu upo chuo,chukua laki tano kafungue kampuni ya kitalii ya utakayoiita international university students tour.itajikita na tour za wanafunzi abroad the country hasa hasa south africa,botswana,lesotho na maeneo mengine ambayo yatakayokuwa attractive kwa hapa africa.tengeneza...
ni njia nzuri sana kama mtumiaji atakuwa anafanya kwa kuvaa mpira(condom) halafu akapaka mafuta kwa nje mengi sana kwani vijana wengi hutumia mikono.mikono husababisha michubuko kwenye uume au uke.inapendekezwa utumie mpira kwani hupunguza friction.mafuta yanayopakwa kwa nje huwa yanaongeza...
mkuu kuna kitu nimekieleza hapo juu kuwa ni mtaalam katika maswala ya lugha,hivyo naweza kuandika tukio lolote lile kutokana na mazingira husika na kuuvaa uhusika
NAJITOLEA KUWA AJE KWANGU NITAMPA CHUMBA HUKU MADALE PIA NITAMSAIDIA KUMTAFUTIA SAITI YA KUKAA AMBAYO HATOKUWA ANALIPA KODI.NINGEMWAMBIA AISHI KWANGU HADI YEYE ATAKAPO PENDA KUONDOKA ILA BADO SIJAMALIZIA FINISHING VIZURI.MKUU NAOMBA uniPM ILI KESHO UJE MADALE NAKUAHIDI NITAKUPA CHUMBA NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.