Search results

  1. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimeenda mara mbili ofisi za TANESCO Yombo (Buza) kuliripoti tatizo la nguzo kuoza na kuinama hadi nyaya zinazoingia ndani kukaribia kugusa chini wananipa namba za simu za TANESCO nipige kuripoti hilo tatizo, wao watakuja kutengeneza baada ya kupewa taarifa hizo na TANESCO ninayoipigia simu...
  2. M

    PAPA: Sijaruhusu ndoa za jinsia moja ila kubariki vitu vyao kama magari, Nyumba, Mashamba ni ruksa Misingi hii ya Kanisa Katoliki iliwekwa na Mungu

    Haya mambo huanza taratibu, wanalegeza kidogo kidogo baadae watafungisha kabisa na hizo ndoa zao. Ni suala la mda tu.
  3. M

    Wahudumu na Uongozi wa Fish Market mnaishiriki dhambi mbaya ya ubaguzi pasipo kujua malipo ni hapa hapa

    Watanzania wengi tunashobekea wageni kuliko wazawa. Hii ni aibu.
  4. M

    Tozo ni wizi, hakuna jina lingine

    Wahuni wameshika nchi, tutakoma. Tozo ni janga kwetu wenye vipato vya chini, hakuna namna ya kuzikwepa.
  5. M

    Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

    Kinachouma zaidi mabilioni wanayokusanya kwa tozo yanaishia matumboni mwao walionacho. Kuna siku tutagawana mbao.
  6. M

    Wakati Ulaya wakikusanya kodi ya miaka 20 iliyopita, Tanzania Samia anauliza miaka iliyopita mlikuwa wapi, msikusanye

    Mheshimiwa Hangaya anataka kuwa rafiki na wafanyabiashara kwa namna ambayo wao wanataka anasahau kuwa hawa jamaa hawana huruma. Acha watu walambishwe asali.
  7. M

    Rais Samia apandisha kiwango cha Posho ya Kujikimu ya Safari za Ndani ya Nchi na Malipo ya Kazi Maalum kwa Watumishi wa Umma

    Kweli watu wanalamba asali sasa, ni mwendo wa vikao na kulipana posho. Watumishi wa uma lazima wahakikishe mama anarudi 2025 kwa namna yoyote ili waendelee kulamba asali na kula kwa urefu wa kamba zao na za kwetu pia.
  8. M

    Rais Samia akubali ongezeko la asilimia 23.3 kwa kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma

    Ufananuzi wa kina unahitajika. Ni kima cha chini tu kimeongelewa hapa, vipi watumishi amabo wanaanzia juu kidogo ya kima cha chini?
  9. M

    Serikali kuilipa Symbion Tsh Billion 356

    Ni mwendo wa kupiga pesa kupitia mgongo wa madudu ya awamu ya 5. Kweli wajanja wameshika nchi.
  10. M

    Rais Samia anakubali kuwa Rais Magufuli aliambukizwa UVIKO-19?

    Samia atuombe msamaha watanzania kwa kutudanganya chanzo cha kifo cha JPM
  11. M

    Ona wanavyokuwa na adabu wakiwa nje ya nchi bila akina Sirro

    Hivi Samia na lundo lake la watu bado tu hajarudi tu nyumbani?
  12. M

    Rais Samia kushiriki mkutano wa Benki ya Dunia Aprili 23, 2022

    Rais wa nchi moja anatembelea nchi nyingine moja zaidi ya wiki? Kweli nchi inafunguliwa na unapigwa mwingi. Asali inalambwa na kila mmoja ale kwa urefu wa kamba yake.
  13. M

    CCM jitokezeni muichambue RIPOTI ya CAG, pesa zilizoibiwa sio za CHADEMA, walioiba ni wakwenu pia

    Ukweli ni kwamba Samia hakubariki na Watanzania walio wengi, mbaya zaidi hadi vijijini ambako ndipo mavuno mengi ya CCM hutokea hawamtaki. Sarakasi zote hizi ni katika kujaribu kumpandisha chati kabla ya 2025. Kama ilivyokuwa Magufuli lazima afe, sasa ni lazima achafuke ili mama aanze kung’aa.
  14. M

    Wakati mgumu kwa taifa la Tanzania

    Watu wajinga sana, unaona Kinana, Nape, January na wengine aina yao wanarudi ulingoni halafu unaamini mazingira sawa ya kisiasa toka kwa Samia?
  15. M

    #COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

    Kwa nini hajasema nyumbani TZ anaenda kuwaambia wazungu? Rais safari hii tumepata.
  16. M

    Utata rubi ya Tanzania inayopigwa mnada Dubai

    2015 tulikabidhi inchi kwa washamba, baada ya March 17, 2021 wajanja walichukua inchi na haya ndiyo matunda yake.
  17. M

    UTEUZI: Sophia Simba ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Magavana wa Taasisi ya Ustawi wa Jamii

    Huyu mama kazidi, basi amteue JK kuwa rais na yeye ajitengue.
  18. M

    Anga la Ukraine Yumkini mikononi mwa NATO

    Urusi anakuwa amepewa taarifa mapema juu ya wakubwa hao wanaokwenda Ukrain. Mambo hayafanyiki kienyeji kama unavyodhani.
  19. M

    Foleni kali tokea Bagamoyo road kutokea Mwenge; Je, aliyeweka rasta na matuta mapya akapimwe akili?

    Watu wenye uwezo wa kufikiri Tanzania wengi wako sekta binafsi, serikali na taasisi zake wamejaa vilaza, na kama akitokea mmoja mwenye nafuu basi hufunikwa na vilaza na yeye kuwa kama wao. Kuna mambo yanafanyija nchi hii unajiuliza aliyeafanya alitolewa mirembe kwa ajili ya kazi hiyo tu na...
Back
Top Bottom