Ikawa sasa nimemfahamu Chande kutoka kwa mwanachama mwenzake wa hiyo ‘’club,’’ yao. Siku moja nikamuuliza mzee wangu, ‘’Hii ‘’club,’’ yenu ni ‘’club,’’ gani?’’ Akanitazama usoni huku kakunja uso akaniuliza, ‘’Wewe unaitakia nini?’’
Sikuuliza tena hilo swali lakini iko siku...
Kwa wale wenye ufahamu au uelewa wa neno DINI ni nini tafsiri yake Iwe kwa lugha yoyote kwa kiswahili au kiingereza ...Kamusi zinaitafsiri nini neno DINI..
je tunaweza kuishi bila ya kuwa na DINI.....? je wale wanaosema hawana DINI au hawazihitaji DINI katika maisha yao ya kila siku wako...
Kuwa mwanangu uyaone .....tulifikiri kuyaona magorofa....NO...' ni kuona maisha yalivyo na yanavyombadilisha mtu ....anabadilika mithili ya kinyonga anavyobadilisha rangi kulingana na mazingira....
Taifa lisilo na maadili ni Taifa linalojichimbia kaburi la kujiangamiza , hisoria ni mwalimu mzuri sana Sodoma na Gomoro ni kielelezo tosha.... jamii ya wakati ule walihamasishana kufanya vitendo viovu vilivyowaangamiza isipokuwa wachache tu miongoni mwao ndio waliosalimika kwa kuwaonya...
Fiesta inashawishi kuongezeka vitendo vya ngono zisizo salama kwa vijana wenye umri mdogo vitendo ambavyo aidha vinachangia kueneza ukimwi ama huwa ni chanzo cha ongezeko la watoto wa mitaani kwa vile mara nyingi malezi ya watoto wanaopatikana kwenye matamasha ya aina hii huachiwa mwanamke...
Ubaguzi ni matendo yafanywayo na wale wasioamini uwepo wa Mungu muumbaji.... hakuna mwanadamu alitaka aumbwe jinsi alivyo au mahali gani ya dunia na wazazi wa aina gani au wa kabila gani.....sote tumejikuta jinsi tulivyo , kuitana majina mabaya ni Inshara ya kujikweza, huyo aliyeitwa nyani...
Waandishi wa habari sijui hata kwanini hawaingii machimbo kutafuta habari zisizo za kawaida ...hebu chekii huyu tall ni habari tosha kwa wana jamii pia huenda angekuwa kwa urefu wake tu angevutia wafanyabiashara na makampuni kutangaza biashara zao au hata wanaotengeneza filamu ....yeye angepata...
Kilichonifurahisha ni aina ya" mapenzi " ya hao Tai kupimana kwa tawi la mti lisifike ardhini , hapo nimepapenda,... sijui kama kuna aina nyingine ya viumbe wanajaribiana kwa kiasi cha Tai....
Mkuu swala la kuthaminiwa huanza na sisi wenyewe tunapojithamini ......kama hatujithamini hakuna atakayetuthamini... muhimu hatuwezi funga milango kwa wegeni....ni wachache tu watapatikana wahuni na wasio na maadili tokea huko kwao lakini wengi wa wageni na wahamiaji halali wanafaida nyingi...
Hii Dunia ni yetu sote Wanadamu, Dunia ilipiga maendeleo ya haraka haraka kuanzia miaka 90 wakati vita baridi ya Mrusi na Marekani kwisha rasmi kipindi hicho Dunia iliachwa huru bila kuingiliwa na hao wababe wa kivita, Utandawazi ikawa ndio sera ya Dunia,... watu wakasafiri popote duniani...
Trump kaingia madarakani kupitia mlango wa uwani...kwa sera ya ubaguzi , jimbo la Minisota lina wageni wengi wahamiaji inaonekana uchaguzi uligubikwa na ubaguzi waminisota wakapiga kura kwa kubaguliwa na Trump
Mwelekeo wa Dunia hivi sasa ni wa kubaguana ndio dili
walianza waingereza...
Wanahabari ni mwaka wao wa kuadhirika wanapotosha umma wa ulimwengu badala ya kuwahabarisha ukweli ....ona sasa walisema Bi Clinton anaongoza katika kura ya maoni yu wapi sasa ..waandishi ni wafitinishaji wakubwa walaghai ...aibu na fedheha ni yao sasa hakuna namna...wabebe lawama ya upotoshaji...
Vyombo vya habari vya nje kama VoA, BBC DW vinatoa habari kwa njia ya kukupa fununu nani atakuwa mshindi, aina yao ya habari unaweza hisi zinatayarishwa na mtu mmoja..."Rais wa kwanza mwanamke kuiongoza marekani..." wanachomeka kiufundi sentensi hiyo...ndio maana Trump anawalalamikia wana...
Trump .... Japan, korea, ujerumani, zijilipie gharama za kulindwa, mexico nao kiroho kiko juu juu ..hata baadhi ya Nchi za ulaya hazimtaki kabisa huyu jamaa ... Dunia italipuka kwa furaha Clinton akishinda ama kweli Trump kaitetemesha dunia
Dunia ya leo sio ya Vita vya silaha baina ya Nchi na Nchi, tunashuhudia miaka ya hivi karibuni technolojia zinazohusu zana za kijeshi zimekuwa za hali ya juu ukilinganisha miaka 20 iliyopita vita vikipiganwa maafa na uharibifu pande zote zitakuwa kwa kiwango cha kutisha , achilia mbali vita...
Msingi mkuu wa Ubaguzi ni kule kujihisi Ubora na kujikweza dhidi ya wanadamu wenzie Sera ya Trump ya ubaguzi imejihidhirisha tuna safari ndefu ya kutokomeza dhana potofu ya ubaguzi wa aina yoyote Duniani ...Ushindi wa bi Clinton utakuwa ni ushindi kwa walimwengu wote wanaopinga dhuluma za...
Kando na kumpa rais mpya, wamarekani wanakaribia kuamua ikiwa watapanua eneo kubwa zaidi ambako bangi inakubalika kisheria.
Katika majimbo tisa , katika siku ambayo uchaguzi unafanyika, wapiga kura watapata fursa pia kuwa na kauli yao kuhusu kuidhinishwa kisheria kwa matumizi ya bangi.
Ikiwa...
Swali lilikuwa moja tu la pasco pekee, maswali mengine hayakuwa maswali bali yalijielekeza kama Maoni na ushauri ingawa wauliza maswali waliyafanya kama ndio maswali, nimefurahi sana angalau kwa sasa watu wa habari watajipanga upya na kujielekeza huko kunako dhaniwa kama muhimili wa nne wa...
Shetani ndio muongo namba moja kwa mujibu wa vitabu vya Dini , na waongo wanaoudhi kwa udanganyifu wao ni haya makampuni ya mitandao ya simu za mkononi eti namba yako imechaguliwa kushinda milioni kadhaa tuma neno kwenda namba....! huo ni ulaghai wa kukuingiza kwenye matumaini ya uongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.