Samirnasri, pole kwa umeme kuchukuliwa..ila nafikiri ilikuwa ishu ya transmission...watakuwa walikuwa wanakata ili watazamaji tusione...walianza kukata Star, then Mlimani...ila Baba lao TBC hawakukata.....mwisho, Wenje katolewa nje na baadhi wabunge wengine (watakuwa wa chadema nafikiri)...
Jazba ilipanda kama ambavyo inaweza kumpanda binadamu yeyote mwenye utashi. Mwenyekiti alikosa busara ya namna ya kuhandle ishu nzima hata kama Tundu Lissu alikubali, kumbuka awali alinyimwa kumalizia kuongea ambapo alitaka kutoa ushahidi pale pale bungeni.
Kweli mdau umetukumbusha mbali....mi nilikuwepo pale miaka ya 1995. Nakumbuka wengi wa hao waalimu...enzi zetu Headmaster alikuwa Mr Msuka...as a matter of fact..hiyo ilikuwa statement yake ya kufungulia speech parade.
Kuna mwalimu mmoja tulikuwa tunamwita Chuck Norris.....nimesahau jina lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.