Naomba kupata jibu kwa changamoto hii.
Nguo inauzwa Sh. 10,000/= na wewe huna pesa ya kununulia nguo hiyo. Ukaamua kukopa pesa kutoka kwa dada yako Sh. 5,000/= na kutoka kwa kaka yako Sh. 5,000/=. Hivyo jumla umekopa Sh. 10,000/=. Ukaenda ukapatana na kuuziwa nguo kwa Sh. 9,700/= na ukarudishiwa...
Hii ni aibu, ni kuutangazia UMMA kuwa Mawaziri wetu hawajui mipaka ya kila mmoja na hawajipangi!!!! anaweza kuagiza. Lakini Wizara za akina Lukuvi, Tyson ziangaliwe sana hazina specific mipaka ya kazi zao.
Sio heshima kusema Mwanamke huyu MLEVI itaonekana ana kasoro kidogo! Ila kwa mwanaume kusemwa ni mlevi sio issue, Utasikia wanasema "Mwanaume hasifiwi kula ni kulewa na wanawake.........." ambanyo vikisemwa kwa Mwanamke vinaleta tafsiri MBAYA. Hivyo kulewa kwa Mwanamke ni tabia mbaya sana katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.