mdau uliyecomment hapo juu umehongwa na nhif, maana wanasifika kwakutoa rushwa kwa waandishi ili waandike habari nzuri kuhusu mfuko. Dawa yake iko jikoni watu wanakusanya ushahidi.
Mkurugenzi mkuu bima ya afya naye amfwate nyoni,
Amesababisha kushuka kwa morali ya utumishi kwa Wafanyakazi wa Mfuko wa bima ya afya kwa kuwatengenezea nidhamu za woga kwasababu akikosolewa anawaadhibu kwa kuhamisha wafanyakazi kutoka vituo vyao. Kwa mfano alimuamisha aliyekuwa mkurugenzi wa...
Tunaandika tukitambua kwa kufanya hivi tunahatarisha ajira zetu, lakini tunasukuma tukiamini kuwa ustawi wa taifa unatangulia mbele ya ajiri zetu. Sisi ni wafanyakazi wa Mfuko wa Bima ya Afya(National Health Insurance Fund-NHIF) tunachukua hatua hii baada ya kuwa tumepoteza imani na watendaji...
Tumesikia malalamiko mengi kuhusu mfuko wa taifa wa bima ya afya unavyotumia vibaya pesa za wanyonge lakini watu wanasahau kuwa hata ndani ya ofisi ile kunamalalamiko mengi ya wafanyakazi na manyanyaso mengi ambayo wafanyakazi wanafanyiwa na yule fisadi mkurugenzi mkuu wao. Anaroho mbaya na...
Wakereketwa wenzangu vipi kuhusu lile swala la mfuko wa taifa wa bima ya afya? Huu ndio wakati muafaka wa kufichua uzembe , ulaji wa pesa za wafanyakazi wenye kipato kidogo na unyanyasaji unaondelea pale ndani na nje ya ofisi. Tumepata baadhi ya nyaraka za kusapoti malalamishi yetu kwa rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.