kuna siredi ilipita hapa ya hao wangoni nasikia ni kweli jamaa zao ni pombe na wanawake tu.....wanasema wangoni mitalimbo yao ni mikubwa na imepinda kama banana... au matege ya mtoto mdogo..jamaa akichukua demu wako sahau..
Lakini inakuwaje majina yao ni ya wanyama .. Nyani, Mapunda, Simba...
Note last word uliyo andika hapo juu ..labda University uliyokwenda ni pale kwa makada kivukoni...Sina haja ya kujua background yako .. Sina interest nayo.. Ila nashangaa unavyomuattack dogo .. Inaonyesha uwezo wako Wa kufikiri uko finyu sana!By the way, I have no interest in politics! Lakini...
Kaka acha pumba pumba pumba na unafiki... kumbuka mapenzi hayana utajiri, mapenzi hayana elimu, mapenzi hayajali Gymn!!!!!!! Kijana amekushinda kwa maconfidence na kujisifia na kukubali umasikini wake na elimu yake ya Dar tech.. wewe nenda uko kwa machangudoa na Magari yako kama siyo Photo shop...
Ningetaka kuongeza post ningeanza toka August 2010..hadi sasa nina 4..yaani 2 kila mwaka...kama pumba zitaendelea.I bet..nimemaliza Quota ya mwaka..huu..hadi..2012..
Najua kuna watakao ona hii post yangu ni pumba..sijali..... Najua kuna watakaonibeza kwani sina muda mrefu hapa JF..sijali....
with all due respect kwa members wa JF MMU..yaani caliber zote ..mtu unawezaje kukurupuka na post pumba kama vile... "Jinsi ya ku** bikira"... "natafuta dawa ya...
I presume wewe ndiye yule anayetumia username "handsome" the way unavoandika huwezi kukwepa.. Mtafute YOYO aliyeolewa na mzungu uongee nae hizo taka taka zako..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.