Nimetumia Rav4 kilitime na xtrail rav 4 inakula zaidi ya xtrail...xtrail ni ngumu kuliko rav 4..offcourse ni ngumu kuuza pia nissan ila yangu nimeuza karibuni..lakini huo ni ushauri tu anaweza kuupima kisha aamue.
Hivi mm nikichukua jina la mtu inamzuia yeye kuendelea kuitwa jina hilo? Nionavyo mm na kuisoma hyo story kuna tofauti ya kuchukua jina la mtu na kuchukua nafasi ya mtu..kwa mfano mtu kachukua jina la nesi anayefanya kazi haimzuii yule nesi kuendelea kutumia hilo jina. Kuna wangapi walichukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.