Noo!! Hebu sikiliza alivyoongea na alichokileta muanzisha uzi, vitu viwili tofauti!! WaTZ tumekuwa watu wa ajabu sana miaka, hawajaona cha kujadili katika sentensi nzima aliyosema "...sitaki mivutano ya sheria wala viingereza, nataka kuona namna gani utageuza elimu yako kuleta maendeleo!!"...
Huko google nako ni watu wameweka, si ajabu kwa lugha za wageni! Wacha ijadiliwe huku nako ili ikae kwenye archive ya vizazi na vizazi wajifunze kupitia forums zetu!
Ulichopaswa ni kujazia nondo unachojua ili wasiojua nao wajue badala ya kumwambia asiyejua ni uvivu!
Pia google zipo shallow...
Inauma sana kumpoteza mzazi lakini punguza attachment, unachopaswa kufanya sasa ni kumuombea alalesalama.
Pili: Ondoa comparison na ndugu zako, kila mtu ana namna ya kutatua changamoto za feelings / emotional zinapomkuta!! Kwako wewe ni kulia sana kwa mwenzio inaweza kuwa vingine! Ukitaka...
Zinaoza sababu ya joto mtu wangu!! Kuna mzee wangu alifanya hivyo, alifunga kwenye nailoni akatia keenye ndoo akafukia chini chumbani kwake then akapiga floor!
Baada ya miaka kadhaa kafukua azitoe kakuta zimeoza, nilimpeleka mpaka bank kuu kujaribu kumsaidia ila ilishindikana!! Takriban...
Nilitaka niseme hili, kama mwanamke simjui!! Hotel lazima ijielewe sana kuanzia mazingira, ulinzi hadi wahudumu!
Mali zote, zinaachwa reception, mpaka simu!
Kukojolewa na mtoto mbona ni ishu ndogo sana!! Hebu weka utu kidoogo isitoshe huyo mtoto ushasema ana miaka mitatu na alikuwa amelala. Hupaswi kulalama
Itakuwa vipi ikaibiwa TV na simu uliyounganishi!! Wezi wameingia ndani, wamewataitisha wakachukua vyote hivyo, kuna njia gani mbadala ya kupata vifaa!!?
Point namba 5, hiyo ni ngumu! Binti akianza kazi mpe maneno ya kumuongoza, kuanza maisha kwa kumpa majukumu nadhani haiko sawa! Unless, akianza maisha hakikisha mzazi kuna hatua za awali umemvusha. Siyo anawaza kununua kitanda tayari ana ndugu analea 😀😀🤣
Kuna familia bana wamefanya hili, tukashangaaa ila ndiyo hivyo!! Watu tukabaki kusema wana mambo ya kale sana, ila imeunganishwa familia yenye mafanikio na familia iliyofanikiwa zaidi! Hatari
Ila jamaa yangu aliyekuwa anadate kale kabinti kaumia kinoma maana alijiweka kama ndiyo mkewe ajaye!!
Changamoto ya age limit, unakuta age limit ni 27 kwa applicants wa Masters hapo hapo awe na experience ya masaa 3,000 kazini ukipiga hesabu hayo masaa ni miaka mitano au zaidi!
It means huyu kijana awe na degree akiwa na miaka 22, of which kiSwahili degree na miaka 22 ni changamoto japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.