Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimeishauri serikali kwa kushirikiana na vyombo vya habari na makundi mengine kutenga siku maalum ya kuhamasisha watanzania kuwachangia wenzetu wa Uturuki na Syria waliokumbwa na janga la tetemeko la ardhi.
Tetemeko hilo lililosababisha takribani watu 47,000...
SAUTI YA UMMA (SAU) ni chama cha siasa chenye viongozi wanaoishi Tanzania pamoja na familia zao, wakiwa 100% raia wa Tanzania wenye uchungu na Tanzania na nia ya kweli ya kuwavusha watanzania
Sisi hatuna dini ndio maana SAU tumekuwa chama pekee kinacho heshimu dini zote na kuamua kutofanya mikutano ya hadhara kwa vipindi vyote viwili ambavyo watanzania watakuwa ktk Ramadhani na Kwaresma
KACHUNGUZE KWY VYAMA VINGINE UPATE MAJIBU
Viongozi wa Chama cha Sauti Ya Umma (SAU), leo asubuhi wamefika katika ofisi za makao makuu ya chama cha TLP kusaini kitabu cha maombolezo na kuwapa pole wana TLP kwa kuondokewa na Mwenyekiti wa chama Taifa
Wakiongea katika ofisi hizo wamesema wamesikitishwa sana kwa kifo cha Mhe Agustino...
Chama cha sauti ya umma(SAU) kinawatakia heri watanzania wote katika siku ya kimataifa ya wanawake tarehe
8 march, ikiwa na ujumbe
GENDER EQUALITY TODAY FOR A SUSTAINABLE TOMORROW
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.